YouTube yatangaza Hazina ya Ksh11B Kulenga wabunifu kutoka Kenya
Watayarishi na wasanii nchini Kenya sasa wana fursa ya kuendeleza taaluma zao baada ya YouTube kufungua Hazina ya Black Voices Fund (BVF) kwa mwaka wa 2023.
Watayarishi na wasanii nchini Kenya sasa wana fursa ya kuendeleza taaluma zao baada ya YouTube kufungua Hazina ya Black Voices Fund (BVF) kwa mwaka wa 2023.