Watatu wauawa na kisha miili yao kutupwa msituni
Miili ya watu watatu ambao ni waendesha pikipiki maarufu bodaboda imeokotwa katika msitu ya Kijiji cha Hiari wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara.
Miili ya watu watatu ambao ni waendesha pikipiki maarufu bodaboda imeokotwa katika msitu ya Kijiji cha Hiari wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara.