Raia 14 wauawa katika shambulizi mashariki mwa DR Congo
CODECO — jina la Ushirika wa Maendeleo ya Congo — ni dhehebu la kisiasa-kidini ambalo linadai kuwakilisha maslahi ya kabila la Lendu.
CODECO — jina la Ushirika wa Maendeleo ya Congo — ni dhehebu la kisiasa-kidini ambalo linadai kuwakilisha maslahi ya kabila la Lendu.
Wavamizi waliwauwa takriban watu 35 akiwemo mtoto mchanga katika shambulio kwenye mgodi wa dhahabu huko Ituri, DR Congo
Walienda huko kwa dhamira kutoka kwa Rais Felix Tshisekedi ili kujadili masharti ya kusitisha mapigano na kuwakomesha uharifu katika eneo hilo.
mashambulizi ya CODECO yamesababisha mamia ya vifo na kusababisha zaidi ya watu milioni 1.5 kukimbia makazi yao