Mawakili wa serikali ya Congo wagoma baada ya miaka 7 bila malipo
Mawakili wa serikali katika Jamhuri ya Congo wameamua kuacha kuiwakilisha serikali mahakamani baada ya kutopokea malipo kwa miaka saba
Mawakili wa serikali katika Jamhuri ya Congo wameamua kuacha kuiwakilisha serikali mahakamani baada ya kutopokea malipo kwa miaka saba