Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko mabaya zaidi kuwahi kutokea Afrika Kusini imefikia 300
Mvua kubwa zaidi kuwahi kunyesha katika miaka 60 iliikumba manispaa ya Durban, inayojulikana kama eThekwini.
Mvua kubwa zaidi kuwahi kunyesha katika miaka 60 iliikumba manispaa ya Durban, inayojulikana kama eThekwini.