Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal
Siku ya Jumanne, Pharoahs wa Misri walikosa nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar baada ya kushindwa na Senegal katika Uwanja wa michezo wa Diamniadio huko Dakar.