Dkt. Ndumbaro: EXPO2020 Dubai yaiweka Tanzania katika ramani ya dunia.
Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania Dkt. Damas Ndumbaro amesema Maonesho ya Kibiashara ya Expo2020 Dubai yanazidi kuiweka Tanzania katika ramani ya dunia
Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania Dkt. Damas Ndumbaro amesema Maonesho ya Kibiashara ya Expo2020 Dubai yanazidi kuiweka Tanzania katika ramani ya dunia