Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania atunukiwa tuzo ya Kimataifa.
Tuzo hiyo imetolewa na The Banker Magazine, kampuni tanzu yagazeti la Financial Times, kutokana na jitihada zake za kuimarisha uchumi katikati ya janga la UVIKO-19.
Tuzo hiyo imetolewa na The Banker Magazine, kampuni tanzu yagazeti la Financial Times, kutokana na jitihada zake za kuimarisha uchumi katikati ya janga la UVIKO-19.