Kanali aliyehusika na mauaji ya halaiki Rwanda aaga dunia.
Theoneste Bagosora, Kanali wa zamani wa jeshi la Rwanda aliyefahamika kwa kuchangia na kupanga mauaji ya kimbari ya 1994 ameaga dunia.
Theoneste Bagosora, Kanali wa zamani wa jeshi la Rwanda aliyefahamika kwa kuchangia na kupanga mauaji ya kimbari ya 1994 ameaga dunia.
This man deserves to be fairly tried in the court of law and is going to be tried as fairly as that can be.