Volcano ya Hawaii, kubwa zaidi duniani, inalipuka kwa mara ya kwanza tangu 1984
Mlima wa volcano wa Hawaii wa Mauna Loa, ambao ni mlima mkubwa zaidi wa volkano duniani, umelipuka kwa mara ya kwanza katika takriban miaka 40
Mlima wa volcano wa Hawaii wa Mauna Loa, ambao ni mlima mkubwa zaidi wa volkano duniani, umelipuka kwa mara ya kwanza katika takriban miaka 40