Rais wa DR Congo amteua kiongozi wa zamani wa wanamgambo kuwa mkuu wa ulinzi
Bemba alikuwa amefungwa na ICC kwa uhalifu uliofanywa na waasi chini ya amri yake, lakini mahakama hiyo ilibatilisha hukumu yake mwaka 2018
Bemba alikuwa amefungwa na ICC kwa uhalifu uliofanywa na waasi chini ya amri yake, lakini mahakama hiyo ilibatilisha hukumu yake mwaka 2018