Kamati ya uchunguzi wa mauaji ya Mtwara yaongezewa siku 7
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongeza siku saba kwa kamati maalum iliyopewa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyofanyika mkoani Mtwara na Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongeza siku saba kwa kamati maalum iliyopewa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyofanyika mkoani Mtwara na Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga.