Kenya yarejelea mauzo ya mirungi Somalia
Somalia ilitangaza kupiga marufuku mirungi kutoka Kenya mnamo Machi 2020 huku kukiwa na mzozo wa mpaka wa baharini kati ya majirani hao wawili wa Afrika Mashariki.
Somalia ilitangaza kupiga marufuku mirungi kutoka Kenya mnamo Machi 2020 huku kukiwa na mzozo wa mpaka wa baharini kati ya majirani hao wawili wa Afrika Mashariki.