Raia wa Korea Kaskazini wamepigwa marufuku kucheka au kunywa pombe wakiadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Kim Jong Il.
“Hata kama jamaa yako ataaga dunia wakati wa maombolezo, huruhusiwi kulia kwa sauti ya juu. Watu hawawezi hata kusherehekea siku zao za kuzaliwa ikiwa siku hiyo itakuwa ndani ya kipindi cha maombolezo.”