Lissu ataka ahakikishiwe usalama wake ili arudi Tanzania
Asema anahitaji kurudi nyumbani lakini kabla ya kurudi anahitaji Rais Samia, atoe kauli ya kumkaribisha ili amuondoe wasiwasi kutokana na mazingira alioyoondokea.
Asema anahitaji kurudi nyumbani lakini kabla ya kurudi anahitaji Rais Samia, atoe kauli ya kumkaribisha ili amuondoe wasiwasi kutokana na mazingira alioyoondokea.