Meya wa Ufilipino awaamuru wafanyikazi wa umma ‘watabasamu’ au watozwe faini
Meya wa Ufilipino amewaamuru watumishi wa umma kutabasamu, au huenda wakatozwa faini, huku akijaribu kuboresha kiwango cha huduma zinazotolewa na serikali ya eneo hilo
Meya wa Ufilipino amewaamuru watumishi wa umma kutabasamu, au huenda wakatozwa faini, huku akijaribu kuboresha kiwango cha huduma zinazotolewa na serikali ya eneo hilo