Kesi ya Maofisa saba wa Polisi wanaodaiwa kuua yapigwa tena kalenda
Kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamis inayowakabili maofisa saba wa polisi mkoani Mtwara, imeahirishwa kutokana na upelelezi bado unaendelea.
Kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamis inayowakabili maofisa saba wa polisi mkoani Mtwara, imeahirishwa kutokana na upelelezi bado unaendelea.