Wazima moto wafaulu kudhibiti moto katika bandari ya Red Sea nchini Sudan
Moto huo ulioenea kwa kasi kwa saa kadhaa, ulizuka katika eneo la kushusha mizigo kwenye bandari siku ya Jumatano.
Moto huo ulioenea kwa kasi kwa saa kadhaa, ulizuka katika eneo la kushusha mizigo kwenye bandari siku ya Jumatano.