Wahamiaji tisa wazama karibu na Tunisia
Shirika la UN la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema takriban wahamiaji 1,300 walitoweka au kufa maji mwaka jana katika bahari ya Mediterania.
Shirika la UN la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema takriban wahamiaji 1,300 walitoweka au kufa maji mwaka jana katika bahari ya Mediterania.