Uganda: Waandamanaji wanaopinga mfumuko wa bei wafyatuliwa vitoza machozi
Polisi nchini Uganda waliwarushia gesi ya kutoa machozi waandamanaji waliokuwa wakiandamana kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta na vyakula vya msingi
Polisi nchini Uganda waliwarushia gesi ya kutoa machozi waandamanaji waliokuwa wakiandamana kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta na vyakula vya msingi