Waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine na watu 15 wafariki katika ajali ya Helikopta
Watoto watatu pia walikuwa miongoni mwa waliofariki na wengine 15 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini.
Watoto watatu pia walikuwa miongoni mwa waliofariki na wengine 15 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini.
Newly inaugurated President Luiz Inacio Lula da Silva, the veteran leftist who narrowly won Brazil’s bitter, divisive October elections, condemned the invasions as a “fascist” attack.
Kundi la wabunge 20 wenye msimamo mkali wa chama chake cha Republican wamekataa kumpa McCarthy kura 218 zinazohitijaka kumfanya spika wa bunge hilo.
Mwili wa marehemu uligunduliwa baada ya wahudumu wa bodaboda, kushuhudia gari likitupa sanduku kuukuu la chuma kando ya njia.
TikTok is the equivalent of “digital fentanyl,”, one of the leading voices in Congress against China, comparing the app to the deadly opioid.
Besigye anasisitiza kwamba uongozi Uganda unatekelezwa kupitia jeshi ambalo alibaini kuwa linawafahamisha raia kuhusu mfalme wa kifalme anayekuja.
Muongo mmoja uliopita uzalishaji na uagizaji wa mazao ya GMO ulipigwa marufuku na serikali ya Kenya kwa misingi kuwa ni hatari kwa afya ya binadamu.
Rais wa Marekani Joe Biden ameweka wazi watu watano watakaomwakilisha katika uapisho wa William Ruto.
Ubalozi wa Marekani watoa ilani ya usalama kwa raia wake nchini Kenya.
Seneta wa Marekani Chris Coons amekutana na kufanya mazungumzo na rais Uhuru Kenyatta.