Uganda yaweka tarehe ya kusikilizwa kwa kesi ya mwandishi Kakwenza Rukirabashaija
Rukirabashaija alisema vifaa vya chuma vilitumika kumsababishia majeruhi. Alidai kudungwa sindano ya kitu kisichojulikana mara kadhaa kinyume na matakwa yake.
Rukirabashaija alisema vifaa vya chuma vilitumika kumsababishia majeruhi. Alidai kudungwa sindano ya kitu kisichojulikana mara kadhaa kinyume na matakwa yake.