Wapeleka risasi kwa mganga wa kienyeji kwa ajili ya kufanyia zindiko
Jeshi la Polisi mkoani Kigoma linawashikilia watu wawili raia wa Burundi wakiwa na risasi mbili za bunduki aina ya AK 47 ambazo walikuwa wakizipeleka kwa mganga kwa ajili ya kuzifanyia zindiko ili wafaulu kwenye shughuli zao za ujambazi.