Fly less? Go vegan? How people can take climate action
UN climate experts estimate that sharp cuts to demand for energy-guzzling services could slash emissions up to 70 percent by 2050.
UN climate experts estimate that sharp cuts to demand for energy-guzzling services could slash emissions up to 70 percent by 2050.
Waendesha mashtaka wa serikali walikuwa wamekata rufaa dhidi ya hukumu ya awali, wakisema adhabu dhidi ya Paul Rusesabagina ni ndogo na inapaswa kuongezwa hadi kifungo cha maisha.
Uhaba huo ulianza wiki iliyopita magharibi mwa Kenya kufuatia mzozo kati ya makampuni ya uuzaji wa mafuta na serikali kuhusu malipo ya ruzuku, duru zilisema.
Chanzo cha tukio kimetajwa kuwa ni ugomvi uliotokana na mwanamke ambaye ni mtuhumiwa kuchelewa kurudi nyumbani na alipoulizwa ndipo ulizuka ugomvi uliopelekea kifo cha mwanaume.
Ajenda ya 10/30 ni lengo ambalo Wizara ya Kilimo nchini Tanzania imejiwekea kulifikia mwaka 2030, ambapo kwa sasa Mpango wa Maendeleo wa miaka mitano unaisha mwaka 2025 unaeleza kwamba sekta ya kilimo inatakiwa ikuwe kwa wastani wa 5.7% ikiwa ndio malengo yaliyowekwa kwa Miaka mitano.
Msimamo huo umetolewa leo na Mkuu wa Idara ya Sheria na Katiba wa chama hicho, Wakili Boniface Mwabukusi, ikiwa ni maazimio ya kikao cha kamati kuu iliyokutana jana Jumapili chini ya mwenyekiti wake, James Mbatia.
Chibulunje amesema soko la dunia la bei ya mafuta imepanda kwa kiasi kikubwa, ambapo kwa mwezi Desemba 2021 tani moja ya mafuta ya petroli ilikuwa inauzwa dola 717, na hadi kufikia Machi mwaka huu ilipanda hadi kufikia dola 1,106 kwa tani moja.
Field Marshall Muthoni alijiunga na vuguvugu la maumau akiwa na takriban miaka 20. Kazi yake ya kwanza aliyofanya ilikuwa kama jasusi
Meya wa Hargeisa, mji mkuu wa Somaliland, alikadiria moto ulioteketeza soko la Waheen ulisababisha hasara ya hadi $2B
Jon Batiste alishinda tuzo tano zikiwemo Albamu Bora ya Mwaka.