• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: April 4, 2022

Fly less? Go vegan? How people can take climate action
Africa Business / Finance Environment International Lifestyle & Health People

Fly less? Go vegan? How people can take climate action

Mwanzo EditorApril 4, 2022April 20, 2024

UN climate experts estimate that sharp cuts to demand for energy-guzzling services could slash emissions up to 70 percent by 2050.  

Mahakama kutoa uamuzi juu ya rufaa ya upande wa mashtaka dhidi ya shujaa wa ‘Hotel Rwanda’
Africa East Africa Features People Politics

Mahakama kutoa uamuzi juu ya rufaa ya upande wa mashtaka dhidi ya shujaa wa ‘Hotel Rwanda’

Maureen MedzaApril 4, 2022April 4, 2022

Waendesha mashtaka wa serikali walikuwa wamekata rufaa dhidi ya hukumu ya awali, wakisema adhabu dhidi ya Paul Rusesabagina ni ndogo na inapaswa kuongezwa hadi kifungo cha maisha.

Kenya yakabiliwa na uhaba mkubwa wa mafuta
East Africa Features

Kenya yakabiliwa na uhaba mkubwa wa mafuta

Maureen MedzaApril 4, 2022April 4, 2022

Uhaba huo ulianza wiki iliyopita magharibi mwa Kenya kufuatia mzozo kati ya makampuni ya uuzaji wa mafuta na serikali kuhusu malipo ya ruzuku, duru zilisema.

Amuua mumewe kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali kichogoni.
Africa East Africa

Amuua mumewe kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali kichogoni.

Asia GambaApril 4, 2022April 4, 2022

Chanzo cha tukio kimetajwa kuwa ni ugomvi uliotokana na mwanamke ambaye ni mtuhumiwa kuchelewa kurudi nyumbani na alipoulizwa ndipo ulizuka ugomvi uliopelekea kifo cha mwanaume.

Ajenda ya 10/30 kuwainua Wakulima nchini Tanzania
Africa East Africa

Ajenda ya 10/30 kuwainua Wakulima nchini Tanzania

Asia GambaApril 4, 2022April 4, 2022

Ajenda ya 10/30 ni lengo ambalo Wizara ya Kilimo nchini Tanzania imejiwekea kulifikia mwaka 2030, ambapo kwa sasa Mpango wa Maendeleo wa miaka mitano unaisha mwaka 2025 unaeleza kwamba sekta ya kilimo inatakiwa ikuwe kwa wastani wa 5.7% ikiwa ndio malengo yaliyowekwa kwa Miaka mitano.

NCCR Mageuzi wagoma kushiriki kongamano la maridhiano lililoandaliwa na TCD
Africa East Africa

NCCR Mageuzi wagoma kushiriki kongamano la maridhiano lililoandaliwa na TCD

Asia GambaApril 4, 2022April 4, 2022

Msimamo huo umetolewa leo na Mkuu wa Idara ya Sheria na Katiba wa chama hicho, Wakili Boniface Mwabukusi, ikiwa ni maazimio ya kikao cha kamati kuu iliyokutana jana Jumapili chini ya mwenyekiti wake, James Mbatia.

Bei ya Mafuta huenda ikaongezeka zaidi   
Africa East Africa

Bei ya Mafuta huenda ikaongezeka zaidi   

Asia GambaApril 4, 2022April 4, 2022

Chibulunje amesema soko la dunia la bei ya mafuta imepanda kwa kiasi kikubwa, ambapo kwa mwezi Desemba 2021 tani moja ya mafuta ya petroli ilikuwa inauzwa dola 717, na hadi kufikia Machi mwaka huu ilipanda hadi kufikia dola 1,106 kwa tani moja.

Shujaa wa Mau Mau – Field Marshall Muthoni akatwa nywele alizofuga kwa miaka 70
East Africa Features People

Shujaa wa Mau Mau – Field Marshall Muthoni akatwa nywele alizofuga kwa miaka 70

Maureen MedzaApril 4, 2022April 4, 2022

Field Marshall Muthoni alijiunga na vuguvugu la maumau akiwa na takriban miaka 20. Kazi yake ya kwanza aliyofanya ilikuwa kama jasusi

Mji mkuu wa Somaliland wapata hasara kubwa baada ya moto kuzuka
Africa Features

Mji mkuu wa Somaliland wapata hasara kubwa baada ya moto kuzuka

Maureen MedzaApril 4, 2022April 4, 2022

Meya wa Hargeisa, mji mkuu wa Somaliland, alikadiria moto ulioteketeza soko la Waheen ulisababisha hasara ya hadi $2B

Washindi wakuu katika Tuzo za Grammy za 2022
Africa Arts & Culture Entertainment Features International

Washindi wakuu katika Tuzo za Grammy za 2022

Maureen MedzaApril 4, 2022April 4, 2022

Jon Batiste alishinda tuzo tano zikiwemo Albamu Bora ya Mwaka.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo