• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: April 14, 2022

Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko mabaya zaidi kuwahi kutokea Afrika Kusini imefikia 300
Africa Features

Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko mabaya zaidi kuwahi kutokea Afrika Kusini imefikia 300

Maureen MedzaApril 14, 2022April 14, 2022

Mvua kubwa zaidi kuwahi kunyesha katika miaka 60 iliikumba manispaa ya Durban, inayojulikana kama eThekwini.

Kenya: Uteuzi wa wagombea viti katika chama cha UDA wafanyika
Features Politics

Kenya: Uteuzi wa wagombea viti katika chama cha UDA wafanyika

Maureen MedzaApril 14, 2022April 14, 2022

Wakati Uchaguzi Mkuu unapokaribia, vyama vya siasa vinaharakisha kukamilisha mchujo wa vyama vyao kabla muda wa makataa Aprili 22,2022

“Uhaba wa mafuta utaisha ndani ya saa 72” Waziri wa Nishati Kenya, Monica Juma
East Africa Features

“Uhaba wa mafuta utaisha ndani ya saa 72” Waziri wa Nishati Kenya, Monica Juma

Maureen MedzaApril 14, 2022April 14, 2022

“Tatizo la mafuta linaloendelea litakwisha ndani ya saa 72” Monica Juma

Ripoti ya CAG yaonyesha dosari Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu 
Africa

Ripoti ya CAG yaonyesha dosari Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu 

Asia GambaApril 14, 2022April 14, 2022

Katika ripoti yake ya ukaguzi kwa mwaka 2020/21 CAG Charles Kichere amesema alipitia orodha iliyotolewa ya wanafunzi walio chini ya uhitaji ili kuthibitisha kama mikopo inatolewa kulingana na mahitaji na kubaini kuwapo kwa dosari katika mgao wa waombaji 12,660.

Bibi amuua mjukuu wake wa siku moja kisa ugumu wa maisha
Africa East Africa

Bibi amuua mjukuu wake wa siku moja kisa ugumu wa maisha

Asia GambaApril 14, 2022April 14, 2022

Kamanda wa Polisi wa Mkoa humo, James Manyama amesema mtuhumiwa alifanya tukio hilo Aprili 9, mwaka huu, saa tano usiku katika Kijiji cha Uvinza Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma.

Uber yasitisha huduma zake Tanzania
Africa East Africa

Uber yasitisha huduma zake Tanzania

Asia GambaApril 14, 2022April 14, 2022

Yasema itarudisha huduma endapo mazingira ya biashara nchini humo yatakuwa raifiki

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo