• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 10, 2022

Afrika Kusini: 15 wafariki, 37 wajeruhiwa katika ajali ya barabarani
Africa Features

Afrika Kusini: 15 wafariki, 37 wajeruhiwa katika ajali ya barabarani

Maureen MedzaJune 10, 2022June 10, 2022

Watu 15 wameuawa na 37 kujeruhiwa Ijumaa wakati basi na lori lilipogongana kwenye barabara kuu ya Afrika Kusini karibu na mji mkuu Pretoria

Hukumu katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Sabaya na wenzake kutolewa leo
Africa East Africa

Hukumu katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Sabaya na wenzake kutolewa leo

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Awali, Mei 31 mwaka huu Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Patricia Kisinda aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo, alipanga kutoa hukumu lakini ilishindikana kutokana na kudaiwa kuwa nje ya kituo cha kazi kwa majukumu mengine.

CDF Mabeyo ataka hekma itumike kutatua migogoro ya ardhi baina ya wananchi na kambi za majeshi.
Africa East Africa

CDF Mabeyo ataka hekma itumike kutatua migogoro ya ardhi baina ya wananchi na kambi za majeshi.

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Jenerali Mabeyo alisema hayo juzi mkoani Morogoro wakati wa ziara yake ya kuaga vikosi vya ulinzi na usalama, pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wa Morogoro.

Nchi 5 zachaguliwa kuhudumu katika Baraza la Usalama la UN
Africa East Africa

Nchi 5 zachaguliwa kuhudumu katika Baraza la Usalama la UN

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Nchi 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa wameshiriki katika uchaguzi huo uliofanyika katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani ndani ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo nchi ya Msumbiji ilipigiwa kura 192, Ecuador – 190, Uswizi – 187, Malta- 185 na Japani – 184

Polisi kuchunguza kifo cha mwanafunzi aliyejinyonga kwa kutumia Tai
Africa East Africa

Polisi kuchunguza kifo cha mwanafunzi aliyejinyonga kwa kutumia Tai

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe alisema tukio hilo ni la Juni 4, mwaka huu na kijana huyo alikutwa amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali na tai ya shule.

Mke amuua mume akimtuhumu kutokuwa na msaada wowote kwenye familia
Africa

Mke amuua mume akimtuhumu kutokuwa na msaada wowote kwenye familia

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Chanzo cha mauaji hayo ni mgogoro wa muda mrefu kati ya wanandoa hao hususani jioni mwanamke anapolewa na kuanza kumtuhumu mumewe kuwa hana msaada wowote katika maisha yao.

Posts navigation

Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo