• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: July 6, 2022

Msafara wa Rais wa Nigeria washambuliwa na watu wasiojulikana.
Africa Politics

Msafara wa Rais wa Nigeria washambuliwa na watu wasiojulikana.

Asia GambaJuly 6, 2022July 2, 2024

Shambulio hilo linadhihirisha kuwa hali ya usalama nchini Nigeria ni mbaya kutokana na makundi ya uhalifu yanazuka kila uchwao

Utafiti: Takriban thuluthi moja ya wanawake wote katika nchi zinazoendelea huanza kuzaa wakiwa na umri wa miaka 19 na kushuka chini ya umri huo.
Africa East Africa

Utafiti: Takriban thuluthi moja ya wanawake wote katika nchi zinazoendelea huanza kuzaa wakiwa na umri wa miaka 19 na kushuka chini ya umri huo.

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti huo baada ya kupata mtoto wao wa kwanza, kuongeza idadi ya watoto kwa wasichana vigori imekuwa ni kawaida.  

Moto wateketeza bweni la shule ya msingi ya wavulana Chalinze
Africa East Africa

Moto wateketeza bweni la shule ya msingi ya wavulana Chalinze

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Akizungumza shuleni hapo alipotembelea shule hiyo kutoa pole na kujionea madhara ya moto huo, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge alisema tukio lilitokea alfajiri, wakati wanafunzi hao wakiwa kwenye ibada msikitini. 

Bei mpya ya mafuta kuanza kutumika leo huku ikiendelea kupanda
Africa East Africa

Bei mpya ya mafuta kuanza kutumika leo huku ikiendelea kupanda

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Katika taarifa iliyotolewa jana Jumanne Julai 5, 2022 na Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), bei ya rejareja jijini Dar es Salaam itakuwa shilingi 3,220 kwa lita moja ya petroli na shilingi 3,143 kwa dizeli huku mafuta ya taa yakifika shilingi 3,442.

Vifo vyaongezeka kwenye familia moja ya watu sita waliouawa mkoani Kigoma nchini Tanzania.
Africa East Africa

Vifo vyaongezeka kwenye familia moja ya watu sita waliouawa mkoani Kigoma nchini Tanzania.

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Kigoma, Maweni Dkt, Stanley Binagi amethibitisha kifo cha mtoto huyo kilichotokea katika hospital ya mkoa wa Morogoro akiwa njiani kupelekwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kupatiwa matibabu zaidi.

Posts navigation

Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo