• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: August 17, 2022

Tanesco yasitisha kuzima mifumo ya Luku
Africa East Africa

Tanesco yasitisha kuzima mifumo ya Luku

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Taarifa iliyotolewa asubuhi ya leo Jumatano na Meneja Mwandamizi wa Tehama wa shirika hilo, Cliff Maregeli alisema matengenezo hayo ya siku nne yalikuwa yaanze Agosti 22 – 25, 2022 kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi.

Dereva wa dalala adaiwa kumuua mpenzi wake Dar
Africa East Africa

Dereva wa dalala adaiwa kumuua mpenzi wake Dar

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumatano Agosti 16, 2022 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Jumanne Muliro imeeleza kuwa tukio hilo limetokea Agosti 16, maeneo ya Kimara Suka.

Kesi ya mauaji ya askari polisi yakwama kuendelea ikisubiri upelelezi
Africa East Africa

Kesi ya mauaji ya askari polisi yakwama kuendelea ikisubiri upelelezi

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Katika kesi hiyo ya mauaji namba 11/2022, washtakiwa 10 kati ya 24 ni madiwani, yumo pia Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ngorongoro, Ndirango Laizer na wakazi wengine.

Mfumo wa ununuzi wa Luku kuzimwa kwa siku nne nchini Tanzania
Africa East Africa

Mfumo wa ununuzi wa Luku kuzimwa kwa siku nne nchini Tanzania

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Shirika la Umeme Tanzania limesema Wananchi nchini humo hawataweza kununua umeme kwa njia ya Luku kwa muda wa siku nne, Agosti 22 – 25, 2022 kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi kutokana na matengenezo kwenye kanzidata ya mfumo wa Luku.

Kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuelekea mahakamani
East Africa Politics

Kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuelekea mahakamani

Victor WanaswaAugust 17, 2022August 17, 2022

Sasa ni wazi kuwa mgombea wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga atarejea katika mahakama ya upeo mwaka huu baada ya tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kumtangaza William Ruto kama mshindi wa uchaguzi mkuu wa agosti mwaka 2022.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo