• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: August 19, 2022

Kenya: Karua amkosoa rais mteule William Ruto
Kenya Politics

Kenya: Karua amkosoa rais mteule William Ruto

Victor WanaswaAugust 19, 2022July 2, 2024

Mgombea mwenza wa  Azimio la Umoja Martha Karua amemkashifu rais mteule William Ruto kwa kile ametaja kama kwenda kinyume na sheria ya Kenya katika kuvutia upande wake vyama washirika wa Azimio la Umoja.

Waajiri wenye malimbikizo ya michango ya NHIF wapewa siku 11 kuyalipa
Africa East Africa

Waajiri wenye malimbikizo ya michango ya NHIF wapewa siku 11 kuyalipa

Asia GambaAugust 19, 2022August 19, 2022

Taarifa kwa umma iliyotolewa leo Agosti 19, 2022 na Kitengo cha uhusiano NHIF imeeleza kuwa hatua zitachukuliwa kwa waajiri ambao hawatakamilisha michango hiyo.

Waandamanaji wafyatuliwa mabomu ya machozi nchini Sudan
Africa East Africa

Waandamanaji wafyatuliwa mabomu ya machozi nchini Sudan

Asia GambaAugust 19, 2022August 19, 2022

Vikosi vya usalama vilifyatua mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji hao.

24 Year Old Woman Arrested Over ‘Shameful’ Dress Code
Africa

24 Year Old Woman Arrested Over ‘Shameful’ Dress Code

Joy CheptooAugust 19, 2022August 19, 2022

A 24-year-old woman identified as Liliane Mugabekazi, was arrested in Rwanda for wearing “shameful” clothing and faces up to two years in jail for “public indecency”.

Kaya 25 kuwasili Msomera leo
Africa East Africa

Kaya 25 kuwasili Msomera leo

Asia GambaAugust 19, 2022August 19, 2022

Jumla ya kaya 25 za wananchi wa Ngorongoro mkoani Arusha, wanatarajiwa kupokelewa leo wilayani Handeni mkoani Tanga katika kijiji cha Msomera ikiwa ni muendelezo wa wale ambao wamekubali kuhama kwa hiari.

Ahukumiwa maisha jela kwa kumlawiti mjuukuu wake wa miezi sita
Africa East Africa

Ahukumiwa maisha jela kwa kumlawiti mjuukuu wake wa miezi sita

Asia GambaAugust 19, 2022August 19, 2022

Hukumu hiyo imetolewa na hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati Victor Kimario baada ya kusikiliza pande zote mbili na kujiridhisha pasipo na kutia shaka.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo