• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: February 28, 2023

Uganda yaweka mipango ya sheria mpya dhidi ya mashoga
East Africa People

Uganda yaweka mipango ya sheria mpya dhidi ya mashoga

Joy CheptooFebruary 28, 2023February 28, 2023

Serikali ya Uganda mwezi uliopita iliunda kamati kuchunguza madai ya “kukuzwa” kwa haki za mashoga

Tanzania na Benki ya Dunia yasaini mkataba wa mikopo nafuu na misaada ya shilingi trilioni 1.3
Africa East Africa

Tanzania na Benki ya Dunia yasaini mkataba wa mikopo nafuu na misaada ya shilingi trilioni 1.3

Asia GambaFebruary 28, 2023February 28, 2023

Waliotia Saini mikataba hiyo Jijini Dar es Salaam, ni Waziri wa Fedha na Mpango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete.

Kanisa Katoliki Geita lafungwa kwa muda
Africa East Africa

Kanisa Katoliki Geita lafungwa kwa muda

Asia GambaFebruary 28, 2023February 28, 2023

Uamuzi huo umetolewa leo na kupitia waraka wa Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, Flavian Kassala, ikiwa ni siku mbili tangu kutokea kwa uvamizi na uharibifu ndani ya kanisa hilo, lililopo Mtaa wa Jimboni, Kata ya Buhalahala mjini Geita.

Tume Ya Uchaguzi Na Mipaka Nchini Kenya (IEBC) Yaibua Vita Vya Kisiasa Kati Ya Rais Ruto Na Raila
Africa East Africa Politics

Tume Ya Uchaguzi Na Mipaka Nchini Kenya (IEBC) Yaibua Vita Vya Kisiasa Kati Ya Rais Ruto Na Raila

Davis MberiaFebruary 28, 2023February 28, 2023

Rais William Ruto ameteua jopo la wanachama saba ambalo litasimamia mchakato wa kuwachagua makamishana na mwenyekiti wa IEBC.

Zoezi La Kuhesabu Kura Katika Uchaguzi Mkuu Nigeria Laendelea
Africa Politics

Zoezi La Kuhesabu Kura Katika Uchaguzi Mkuu Nigeria Laendelea

Davis MberiaFebruary 28, 2023February 28, 2023

Wagombea 18 wanawania kiti cha Urais kumrithi rais anayeondoka Muhammadu Buhari, ila watatu pekee ndio wameonekana kuwa mibabe

Aliyegongwa na basi la mwendokasi atambuliwa na ndugu zake.
Africa East Africa

Aliyegongwa na basi la mwendokasi atambuliwa na ndugu zake.

Asia GambaFebruary 28, 2023February 28, 2023

Majeruhi huyo ayetambulika kwa jina la ‘Osam Milanzi’ na kutajwa kuwa mkazi wa Manzese Midizini, ametambuliwa siku moja baada ya kuanza kuongea na kujitaja kwa jina la Osam mkazi wa Manzese.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo