• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: February 2023

Uamuzi Wa Mahakama Ya Upeo Kuhusu Wapenzi Wa Jinsia Moja (LGBTQ) Nchini Kenya Wazua Gumzo Tata
Africa Arts & Culture East Africa Gender People

Uamuzi Wa Mahakama Ya Upeo Kuhusu Wapenzi Wa Jinsia Moja (LGBTQ) Nchini Kenya Wazua Gumzo Tata

Davis MberiaFebruary 27, 2023February 27, 2023

Viongozi wa kidini na wale wa kisiasa serikalini wamejitokeza kushtumu uamuzi huo wa mahakama ambao wameutaja kama kinyume na mila na desturi

Wapambe Wa Raila Wazidi Kususia Mikutano Ya Hadhara Ya Upinzani Nchini Kenya
Africa East Africa People Politics

Wapambe Wa Raila Wazidi Kususia Mikutano Ya Hadhara Ya Upinzani Nchini Kenya

Davis MberiaFebruary 27, 2023February 27, 2023

Kukosekana kwa baadhi ya wapambe wa Raila katika mikutano ya hadhara kumeibua maswali mengi

Imefichuliwa:Jinsi Rais Ruto Anadaiwa Kuchangia Odinga Kufutwa Kazi Umoja Wa Afrika (AU)
Africa East Africa Politics

Imefichuliwa:Jinsi Rais Ruto Anadaiwa Kuchangia Odinga Kufutwa Kazi Umoja Wa Afrika (AU)

Davis MberiaFebruary 25, 2023February 25, 2023

Duru za kuaminika kutoka ofisi ya Umoja wa Afrika (AU) zinadai kuwa Odinga “Kufutwa kazi” kulitokana na kile kinachotajwa kama msururu wa siasa ambazo waziri huyo mkuu wa zamani wa Kenya amekuwa akifanya nchini humo.

Nigeria kufunga mipaka yake siku ya uchaguzi
Africa People Politics

Nigeria kufunga mipaka yake siku ya uchaguzi

Mwanzo EditorFebruary 24, 2023February 24, 2023

Maafisa wa mpaka wameambiwa kuhakikisha utekelezwaji mkali wa agizo hilo.

Mwanasiasa wa Nigeria akamatwa na dola 500,000 kabla ya uchaguzi
People Politics

Mwanasiasa wa Nigeria akamatwa na dola 500,000 kabla ya uchaguzi

Mwanzo EditorFebruary 24, 2023February 24, 2023

Katika chaguzi zilizopita, wanasiasa wameshutumiwa kwa wizi wa kura kupitia ununuzi wa kura.

Mating’i Adinda Kufika Katika Ofisi Za DCI Kuhojiwa
Africa East Africa

Mating’i Adinda Kufika Katika Ofisi Za DCI Kuhojiwa

Davis MberiaFebruary 24, 2023February 24, 2023

Matiang’i alitakiwa kufika katika ofisi za DCI Ijumaa 24,2023 kuhojiwa kuhusu madai ya maafisa wa polisi kuvamia nyumbani kwake mtaani Karen Jijini Nairobi.

Rais Ruto Na Raila Wajibizana Kisa Eti Kufunguliwa Kwa Sava Za Tume Ya Uchaguzi.
Africa Politics

Rais Ruto Na Raila Wajibizana Kisa Eti Kufunguliwa Kwa Sava Za Tume Ya Uchaguzi.

Davis MberiaFebruary 24, 2023February 24, 2023

Raila amezidi kusisitiza sava za tume ya uchaguzi nchini Kenya (IEBC) zifunguliwe,Ila Rais Ruto naye amemjibu akisema kuwa sava zipo wazi kwa kila mmoja kuangalia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2022.

Kenya yatoa leseni kwa Taifa Gas, inayomilikiwa na bilionea Mtanzania Rostam Aziz
Business / Finance East Africa People

Kenya yatoa leseni kwa Taifa Gas, inayomilikiwa na bilionea Mtanzania Rostam Aziz

Joy CheptooFebruary 24, 2023February 24, 2023

Taifa Gas ndiyo kampuni kubwa zaidi ya usambazaji wa LPG nchini Tanzania

Mgombea wa useneta wa Nigeria auawa kwa kupigwa risasi na mwili wake kuchomwa moto
Africa People Politics

Mgombea wa useneta wa Nigeria auawa kwa kupigwa risasi na mwili wake kuchomwa moto

Mwanzo EditorFebruary 23, 2023February 23, 2023

Wasaidizi wake waliokuwa pamoja naye pia waliuawa kwa kupigwa risasi kabla ya gari lao kuchomwa moto huku miili ikiwa ndani, vyombo vya habari vya eneo hilo vinaripoti.

Burkina Faso kumzika upya Sankara
Africa People

Burkina Faso kumzika upya Sankara

Mwanzo EditorFebruary 23, 2023February 23, 2023

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso inajiandaa kuzika masalia ya mwili wa rais wa zamani wa nchi hiyo Thomas Sankara hii leo Alhamisi, huu familia yake ikikataa kushiriki mazishi hayo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo