Uamuzi Wa Mahakama Ya Upeo Kuhusu Wapenzi Wa Jinsia Moja (LGBTQ) Nchini Kenya Wazua Gumzo Tata
Viongozi wa kidini na wale wa kisiasa serikalini wamejitokeza kushtumu uamuzi huo wa mahakama ambao wameutaja kama kinyume na mila na desturi
Viongozi wa kidini na wale wa kisiasa serikalini wamejitokeza kushtumu uamuzi huo wa mahakama ambao wameutaja kama kinyume na mila na desturi
Kukosekana kwa baadhi ya wapambe wa Raila katika mikutano ya hadhara kumeibua maswali mengi
Duru za kuaminika kutoka ofisi ya Umoja wa Afrika (AU) zinadai kuwa Odinga “Kufutwa kazi” kulitokana na kile kinachotajwa kama msururu wa siasa ambazo waziri huyo mkuu wa zamani wa Kenya amekuwa akifanya nchini humo.
Maafisa wa mpaka wameambiwa kuhakikisha utekelezwaji mkali wa agizo hilo.
Katika chaguzi zilizopita, wanasiasa wameshutumiwa kwa wizi wa kura kupitia ununuzi wa kura.
Matiang’i alitakiwa kufika katika ofisi za DCI Ijumaa 24,2023 kuhojiwa kuhusu madai ya maafisa wa polisi kuvamia nyumbani kwake mtaani Karen Jijini Nairobi.
Raila amezidi kusisitiza sava za tume ya uchaguzi nchini Kenya (IEBC) zifunguliwe,Ila Rais Ruto naye amemjibu akisema kuwa sava zipo wazi kwa kila mmoja kuangalia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2022.
Taifa Gas ndiyo kampuni kubwa zaidi ya usambazaji wa LPG nchini Tanzania
Wasaidizi wake waliokuwa pamoja naye pia waliuawa kwa kupigwa risasi kabla ya gari lao kuchomwa moto huku miili ikiwa ndani, vyombo vya habari vya eneo hilo vinaripoti.
Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso inajiandaa kuzika masalia ya mwili wa rais wa zamani wa nchi hiyo Thomas Sankara hii leo Alhamisi, huu familia yake ikikataa kushiriki mazishi hayo.