• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 2, 2023

Sakata la Fei Toto na Yanga kumalizwa muda wowote kuanzia sasa.
Sports

Sakata la Fei Toto na Yanga kumalizwa muda wowote kuanzia sasa.

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Mwanasheria Fatma Karume ambaye anamwakilisha mchezaji Feisal Salum (Fei Toto) amesema kuwa wameiachia kamati itafakari upya maamuzi kuhusu mvutano wa…

Mahitaji ya gesi kwenye magari yaongezeka nchini Tanzania
Africa East Africa

Mahitaji ya gesi kwenye magari yaongezeka nchini Tanzania

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Mkurugenzi wa Biashara ya Mafuta na Gesi kutoka TPDC Dkt. Wellington Hudson amesema, hivi karibuni kumekuwa na misururu mirefu ya magari kuingia kwenye vituo vya kujazia gesi baada ya kuwepo kwa idadi kubwa ya watumiaji huku kituo kimoja kikisitisha kutoa huduma kutokana na matengenezo.

Dkt. Mpango atoa wito wa ushirikiano kwa nchi Zisizofungamana na Upande Wowote
Africa East Africa

Dkt. Mpango atoa wito wa ushirikiano kwa nchi Zisizofungamana na Upande Wowote

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Makamu wa Rais amesema hayo katika mji wa Baku nchini Azerbaijan, alipokuwa akihutubia mkutano wa nchi Zisizofungamana na Upande Wowote, mkutano uliolenga kujadili namna ya kukabiliana na athari za UVIKO – 19.

Mgombea urais wa Nigeria Peter Obi kupinga uchaguzi mahakamani
Africa People Politics

Mgombea urais wa Nigeria Peter Obi kupinga uchaguzi mahakamani

Joy CheptooMarch 2, 2023March 2, 2023

Uchaguzi wa Nigeria mara nyingi umekuwa na madai ya udanganyifu na ghasia

Mwanafunzi wa darasa la sita ajinyonga baada ya kufokewa na wazazi wake
Africa East Africa

Mwanafunzi wa darasa la sita ajinyonga baada ya kufokewa na wazazi wake

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Benjamin Kuzaga  amewaambia waandishi wa habari leo kuwa mwanafunzi huyo alifikia hatua ya kujitoa uhai baada ya kufokewa na wazazi wake.

Rais Samia:Nafahamu madhara ya kubadilisha viongozi mara kwa mara.
Africa East Africa

Rais Samia:Nafahamu madhara ya kubadilisha viongozi mara kwa mara.

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, mara nyingi hulazimika kuwabadili viongozi mara kwa mara ili kuepusha madhara zaidi kwa Serikali na wananchi ambayo yangeweza kutokea.

Godbless Lema wa Chadema arejea nyumbani baada ya kukaa uhamishoni kwa miaka mingi
East Africa People Politics

Godbless Lema wa Chadema arejea nyumbani baada ya kukaa uhamishoni kwa miaka mingi

Joy CheptooMarch 2, 2023March 2, 2023

Lema alikimbia Tanzania Novemba 2020, akiripoti vitisho vya maisha yake kufuatia uchaguzi uliokuwa na utata

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo