Rais Samia ahaidi mchakato wa Katiba kuanza hivi karibuni
Ametoa ahadi hiyo leo tarehe 8 Machi 2023, katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, yaliyofanyika mkoani Kilimanjaro, baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kumuomba marekebisho hayo yakamilike kabla 2025.