• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 26, 2023

#TANZANIA: Sheikh Ponda Apingwa Vikali Na Mahakama
East Africa People

#TANZANIA: Sheikh Ponda Apingwa Vikali Na Mahakama

Mwanzo EditorMarch 26, 2023March 26, 2023

Hii ni baada ya Sheikh Ponda kutoa taarifa kupitia ukurasa wa Twitter ikisema “22.03.2023 Jaji Mfawidhi alitembelea Mahabusu wa Ugaidi Arusha na kuwaambia kesi zao zimekwama kwa sababu Mahakama haijapewa Bajeti”

Inspekta Jenerali wa Kenya amepiga marufuku maandamano mapya ya upinzani Jumatatu
East Africa People Politics

Inspekta Jenerali wa Kenya amepiga marufuku maandamano mapya ya upinzani Jumatatu

Joy CheptooMarch 26, 2023March 26, 2023

Zaidi ya watu 200 walikamatwa Jumatatu iliyopita, wakiwemo wanasiasa kadhaa wakuu wa upinzani, huku msafara wa Odinga mwenyewe ukipigwa na mabomu ya machozi na maji ya kuwasha

Morocco Yaandikisha Historia Baada Ya Kuibwaga Brazil 2-1
Sports

Morocco Yaandikisha Historia Baada Ya Kuibwaga Brazil 2-1

Kevin SeweMarch 26, 2023March 26, 2023

Morocco inakuwa timu ya pili barani Afrika kuwai kuishinda Brazil katika historia ya soka duniani

Mandonga Amshinda Mganda Lukyamuzi Kwenye Pigano Kali Jijini Nairobi
Sports

Mandonga Amshinda Mganda Lukyamuzi Kwenye Pigano Kali Jijini Nairobi

Kevin SeweMarch 26, 2023March 26, 2023

Bondia Mtanzania, Karim Mandoga ‘Mtu Kazi’ amshinda Kenneth Lukyamuzi wa Uganda kwa pointi za majaji wawili baada ya pambano kali la raundi 8

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo