• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: March 2023

UDA Wataka Odinga Akamatwe Kwa Kuongoza Maandamano Ya Fujo
Kenya Politics

UDA Wataka Odinga Akamatwe Kwa Kuongoza Maandamano Ya Fujo

Kevin SeweMarch 21, 2023July 2, 2024

Wabunge kutoka chama cha tawala cha UDA  sasa wanataka muungano wa Azimio la Umoja kuwajibikia uharibifu ulioshuhudiwa wakati wa maandamano makubwa yaliyofanyika Jumatatu.

Vikosi vya polisi Marekani viko katika tahadhari kabla ya uwezekano wa kukamatwa kwa Trump
International People Politics

Vikosi vya polisi Marekani viko katika tahadhari kabla ya uwezekano wa kukamatwa kwa Trump

Mwanzo EditorMarch 21, 2023March 21, 2023

Polisi katika miji mikuu ya Marekani wanajiandaa kwa ghasia zinazoweza kutokea iwapo rais wa zamani Donald Trump atakamatwa wiki hii kama sehemu ya uchunguzi wa pesa aliyotoa kama rushwa.

Kimbunga Freddy: Zaidi ya 400 bado hawajulikani walipo nchini Malawi
Africa Nature People

Kimbunga Freddy: Zaidi ya 400 bado hawajulikani walipo nchini Malawi

Mwanzo EditorMarch 21, 2023March 21, 2023

Mamlaka nchini Malawi zinasema idadi ya watu ambao bado hawajulikani walipo kufuatia Kimbunga Freddy imeongezeka kutoka 349 hadi 427, huku…

Mbappe kuwa nahodha mpya wa Ufaransa
Football People Sports

Mbappe kuwa nahodha mpya wa Ufaransa

Joy CheptooMarch 21, 2023March 21, 2023

Mbappe, 24, alikubali jukumu hilo baada ya mazungumzo na kocha Didier Deschamps

Kinara wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga atoa wito wa kufanyika maandamano ya kila wiki
East Africa People Politics

Kinara wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga atoa wito wa kufanyika maandamano ya kila wiki

Joy CheptooMarch 21, 2023March 20, 2023

Wakenya wanakabiliwa na matatizo ya kiuchumi kufuatia hatua za serikali za hivi majuzi za ushuru na kuongezeka kwa bei ya vyakula na mafuta

Miaka Miwili ya Rais Samia dhidi ya Wafugaji
Opinion

Miaka Miwili ya Rais Samia dhidi ya Wafugaji

Mwanzo EditorMarch 21, 2023May 9, 2024

Miaka Miwili ya Rais Samia Kwa Jamii ya kifugaji imekua ni kilio badala ya Furaha, tumenyanyaswa na kuumizwa na serikali yetu wenyewe

Raia wa Afrika Kusini waandamana kumtaka Ramaphosa ajiuzulu
Africa People Politics

Raia wa Afrika Kusini waandamana kumtaka Ramaphosa ajiuzulu

Joy CheptooMarch 20, 2023March 20, 2023

Wito huo wa maandamano uliamsha kumbukumbu za mapigano ya Julai 2021 ambayo yalishuhudia ghasia mbaya zaidi tangu kumalizika kwa ubaguzi wa rangi na ujio wa demokrasia mnamo 1994

Maandamano Afrika Kusini Ya chachama Kushinikiza Kujiuzulu Kwa Rais Ramaphosa
Africa Politics

Maandamano Afrika Kusini Ya chachama Kushinikiza Kujiuzulu Kwa Rais Ramaphosa

Kevin SeweMarch 20, 2023March 20, 2023

Maandamano yakiendelea kuchacha nchini Kenya, nchini Afrika Kusini polisi mambo ni kama hayo baada ya waandamanaji kujitokeza katika miji kadha katika taifa hilo.

Upinzani wafanya maandamano nchini Kenya
East Africa Politics

Upinzani wafanya maandamano nchini Kenya

Joy CheptooMarch 20, 2023March 20, 2023

Wakenya wanateseka kutokana na kupanda kwa bei ya mahitaji ya kimsingi, pamoja na kushuka kwa kasi kwa shilingi ya ndani dhidi ya dola ya Marekani

Maandamano Yazidi Nairobi, Polisi Wakilazimika Kutumia Vitoa Machozi Kuwatawanya
Kenya Politics

Maandamano Yazidi Nairobi, Polisi Wakilazimika Kutumia Vitoa Machozi Kuwatawanya

Kevin SeweMarch 20, 2023July 2, 2024

Wengine kama vile Kiongozi wa Wachache katika Bunge la Seneti Stewart Madzayo na mwenzake wa bunge Opiyo wandayi wamekamatwa na polisi.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo