UDA Wataka Odinga Akamatwe Kwa Kuongoza Maandamano Ya Fujo
Wabunge kutoka chama cha tawala cha UDA sasa wanataka muungano wa Azimio la Umoja kuwajibikia uharibifu ulioshuhudiwa wakati wa maandamano makubwa yaliyofanyika Jumatatu.
Wabunge kutoka chama cha tawala cha UDA sasa wanataka muungano wa Azimio la Umoja kuwajibikia uharibifu ulioshuhudiwa wakati wa maandamano makubwa yaliyofanyika Jumatatu.
Polisi katika miji mikuu ya Marekani wanajiandaa kwa ghasia zinazoweza kutokea iwapo rais wa zamani Donald Trump atakamatwa wiki hii kama sehemu ya uchunguzi wa pesa aliyotoa kama rushwa.
Mamlaka nchini Malawi zinasema idadi ya watu ambao bado hawajulikani walipo kufuatia Kimbunga Freddy imeongezeka kutoka 349 hadi 427, huku…
Mbappe, 24, alikubali jukumu hilo baada ya mazungumzo na kocha Didier Deschamps
Wakenya wanakabiliwa na matatizo ya kiuchumi kufuatia hatua za serikali za hivi majuzi za ushuru na kuongezeka kwa bei ya vyakula na mafuta
Miaka Miwili ya Rais Samia Kwa Jamii ya kifugaji imekua ni kilio badala ya Furaha, tumenyanyaswa na kuumizwa na serikali yetu wenyewe
Wito huo wa maandamano uliamsha kumbukumbu za mapigano ya Julai 2021 ambayo yalishuhudia ghasia mbaya zaidi tangu kumalizika kwa ubaguzi wa rangi na ujio wa demokrasia mnamo 1994
Maandamano yakiendelea kuchacha nchini Kenya, nchini Afrika Kusini polisi mambo ni kama hayo baada ya waandamanaji kujitokeza katika miji kadha katika taifa hilo.
Wakenya wanateseka kutokana na kupanda kwa bei ya mahitaji ya kimsingi, pamoja na kushuka kwa kasi kwa shilingi ya ndani dhidi ya dola ya Marekani
Wengine kama vile Kiongozi wa Wachache katika Bunge la Seneti Stewart Madzayo na mwenzake wa bunge Opiyo wandayi wamekamatwa na polisi.