• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: July 11, 2023

Mashirika Kadha Kuandaa Maandamano Sambaba Na Azimio
Politics

Mashirika Kadha Kuandaa Maandamano Sambaba Na Azimio

Kevin SeweJuly 11, 2023July 11, 2023

Kiongozi wa azimio Raila Odinga ametangaza rasmi kuwa siku ya Jumatano tarehe 12/7/2023, kikosi chake kitarejea tena uwanajani

Madaktari Kenya Wabuni Teknologia Ya Kuzuia Uvujaji  Damu wakati wa kujifungua
Lifestyle & Health

Madaktari Kenya Wabuni Teknologia Ya Kuzuia Uvujaji  Damu wakati wa kujifungua

Kevin SeweJuly 11, 2023July 11, 2023

Madaktari katika Hospitali ya Kaunti Ndogo ya Malindi katika Kaunti ya Kilifi wamekuja na ubunifu ambao utasaidia kupunguza Kuvuja damu kwa PostPartum yaani PPH miongoni mwa wanawake.

Ripoti: Watu bilioni 1.1 kati ya bilioni 6.1 wanaishi katika umasikini mkubwa
Africa Asia East Africa

Ripoti: Watu bilioni 1.1 kati ya bilioni 6.1 wanaishi katika umasikini mkubwa

Asia GambaJuly 11, 2023July 11, 2023

Kulingana na toleo hili la mwaka 2023, watu bilioni 1.1 kati ya bilioni 6.1 (zaidi ya 18%) wanaishi katika umaskini mkubwa wa pande nyingi katika nchi 110. 

Watatu wadaiwa kumbaka mwanafunzi mkoani Shinyanga
Africa East Africa

Watatu wadaiwa kumbaka mwanafunzi mkoani Shinyanga

Asia GambaJuly 11, 2023July 11, 2023

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linawashikilia vijana watatu kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa shule ya sekondari Kishimba iliyopo Manispaa ya Kahama mkoani humo wakati akitoka dukani kununua vitu.

CCM yataka maoni chanya ya wananchi kuhusu mkataba wa bandari yasikilizwe.
Africa East Africa

CCM yataka maoni chanya ya wananchi kuhusu mkataba wa bandari yasikilizwe.

Asia GambaJuly 11, 2023July 11, 2023

Wito huo umetolewa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) katika kikao chake cha kawaida chini ya Mwenyekiti wake Rais Samia Suluhu Hassan kilichofanyika Julai 09, jijini Dodoma.

Mawaziri SADC wajadili hali ya amani DRC na Msumbiji
Africa East Africa

Mawaziri SADC wajadili hali ya amani DRC na Msumbiji

Asia GambaJuly 11, 2023July 11, 2023

Mkutano huo umeongozwa na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Namibia, Netumbo Nandi Ndaitwah ambapo pamoja na mambo mengine, amezisihi Nchi wanachama wa SADC kuendelea kushirikiana na DRC pamoja na Msumbiji na kuhakikisha kuwa hali ya amani inarejea.

Ummy:Punguzeni semina wananchi wapate huduma
Africa East Africa

Ummy:Punguzeni semina wananchi wapate huduma

Asia GambaJuly 11, 2023July 11, 2023

Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amewataka wataalamu wa afya nchini humo kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi wa kutoa huduma bora za matibabu kwa wananchi.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo