• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: November 13, 2023

Madaktari Muhimbili wamtoa mtoto kipande cha plastiki kwenye mapafu alichoishi nacho miezi 23 
Africa East Africa

Madaktari Muhimbili wamtoa mtoto kipande cha plastiki kwenye mapafu alichoishi nacho miezi 23 

Asia GambaNovember 13, 2023November 13, 2023

Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kutoa kipande cha plastiki kwenye pafu la kushoto la mtoto mwenye umri wa miaka 11, kupitia kifaa maalumu kinachoitwa Flexible Bronchoscopy.

ACT Wazalendo kuchambua miswada ya uchaguzi iliyosomwa bungeni
Africa East Africa

ACT Wazalendo kuchambua miswada ya uchaguzi iliyosomwa bungeni

Asia GambaNovember 13, 2023November 13, 2023

Chama cha ACT Wazalendo kimeielekeza Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho kuichambua Miswada ya Sheria kuhusu Uchaguzi, Tume ya Uchaguzi na Vyama vya Siasa iliyosomwa kwa mara ya kwanza Bungeni tarehe 10 Novemba 2023.

Kesi ya Polisi wanaodaiwa kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha yapigwa kalenda, upepelezi ukiwa bado haujakamilika
Africa East Africa

Kesi ya Polisi wanaodaiwa kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha yapigwa kalenda, upepelezi ukiwa bado haujakamilika

Asia GambaNovember 13, 2023November 13, 2023

Washtakiwa hao ni waliokuwa askari kanzu watatu mwenye namba  F 7149 D/Coplo Ramadhani Tarimo (42) maarufu kama Rasta na mkazi wa Kipawa; G 7513 D/Coplo Majid Abdallah(35) na mkazi wa Kunduchi na WP  6582 D/ Coplo Stella Mashaka ( 41) mkazi wa Railway.

Magonjwa yasiyoambukiza changamoto Afrika.
Africa East Africa

Magonjwa yasiyoambukiza changamoto Afrika.

Asia GambaNovember 13, 2023November 14, 2023

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi Magonjwa yasioambukiza Wizara ya Afya Dkt. Omary Ubuguyu katika uzinduzi wa madhimisho ya wiki ya magonjwa yasioambukiza iliyoandaliwa na Wizara ya Afya, Ofisi ya (TAMISEMI) uongozi wa Mkoa wa Dar es salaam pamoja na wadau wa huduma za magonjwa yasioambukiza.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo