Shahidi wa 10 wa Jamhuri Aeleza Sababu za Kutoa Ushahidi Wenye Kizimba cha Siri
Shahidi wa 10 wa Jamhuri ameieleza Mahakama sababu zilizomfanya kutoa ushahidi wake akiwa kwenye kizimba cha siri, akidai kuwa anahofia usalama wa maisha yake.
Shahidi wa 10 wa Jamhuri ameieleza Mahakama sababu zilizomfanya kutoa ushahidi wake akiwa kwenye kizimba cha siri, akidai kuwa anahofia usalama wa maisha yake.
Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo
A conservative media critic picked by President Donald Trump to be US ambassador to South Africa has arrived to take up his post, the US embassy said Tuesday, with bilateral relations fractured over a range of issues.