Lissu Apinga Notice Ya Ushahidi Wa Nyongeza
Lissu alipinga vikali hatua hiyo, akisema Notice hiyo haina msingi wa kisheria na kusema kifungu cha 308(1) kinahusu shahidi mpya yaani shahidi ambaye maelezo yake hayakusomwa wakati wa Committal.
Lissu alipinga vikali hatua hiyo, akisema Notice hiyo haina msingi wa kisheria na kusema kifungu cha 308(1) kinahusu shahidi mpya yaani shahidi ambaye maelezo yake hayakusomwa wakati wa Committal.