• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Serikali ya Zanzibar yatangaza rasmi umiliki wa Shamba la Razaba huko Bagamoyo, yatoa onyo kwa wenye kutaka kujimilikisha
Africa East Africa

Serikali ya Zanzibar yatangaza rasmi umiliki wa Shamba la Razaba huko Bagamoyo, yatoa onyo kwa wenye kutaka kujimilikisha

Asia GambaJune 1, 2023June 1, 2023

Taarifa iliyotolewa na  serikali ya Zanzibar, kupitia kwa msemaji wake, Charles Hilary, imeeleza kuwa shamba hilo ni mali ya serikali na haitambui mtu yoyote aliyemilikishwa; au kujimilikisha eneo hilo.

Viongozi wa Afrika Mashariki waongeza muda wa wanajeshi mashariki mwa Kongo.
Africa East Africa

Viongozi wa Afrika Mashariki waongeza muda wa wanajeshi mashariki mwa Kongo.

Asia GambaJune 1, 2023June 1, 2023

Jumuiya ya nchi saba za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ilianza kutumwa mwezi Novemba mwaka jana ambapo wanajeshi wa Kenya waliwasili katika eneo hilo lenye hali tete, na kufuatiwa mwaka huu na vikosi vya Burundi, Uganda na Sudan Kusin

Majaliwa awataka Watanzania kuiombea Yanga irudi na ushindi
Africa Sports

Majaliwa awataka Watanzania kuiombea Yanga irudi na ushindi

Asia GambaJune 1, 2023June 1, 2023

Akizungumza leo bungeni Jijini Dodoma Majaliwa amesema ni wakati wa Watanzania wote kuungana ili kuandika historia kwa pamoja na hana shaka na uwezo wa Yanga, na anaamini timu hiyo itaipeperusha vyema bendera ya Tanzania 

WHO:Watu milioni 8 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na tumbaku
Africa East Africa

WHO:Watu milioni 8 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na tumbaku

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Ikiwa leo ni siku ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani shirika la Umoja wa Mataifa  la afya duniani WHO, limezitaka nchi kuacha kutoa ruzuku kwa kilimo cha tumbaku na badala yake kuunga mkono na kusaidia kilimo cha mazao endelevu yatakayoweza kulisha mamilioni ya watu wenye uhitaji wa chakula.

Ukata kusababisha WFP Tanzania kupunguza mgao wa chakula kwa wakimbizi
Africa East Africa

Ukata kusababisha WFP Tanzania kupunguza mgao wa chakula kwa wakimbizi

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Zaidi ya wakimbizi 200,000 walioko nchini Tanzania wataanza kupokea nusu mgao wa chakula wanachopatiwa kutokana na ukata unaokabili shirika la…

Ahukumiwa miaka saba jela kwa kumuambukiza Ukimwi  kwa makusudi mtoto wake wakufikia
Africa East Africa

Ahukumiwa miaka saba jela kwa kumuambukiza Ukimwi  kwa makusudi mtoto wake wakufikia

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoani Mara imemuhukumu kwenda jela miaka saba Msirari Muhere (60) mkazi wa Wilaya ya Tarime baada…

Sheria ya kupinga ushoga sasa ni rasmi nchini Uganda
Africa East Africa

Sheria ya kupinga ushoga sasa ni rasmi nchini Uganda

Asia GambaMay 29, 2023May 29, 2023

Rais wa Uganda Yoweri Museveni leo amesaini Muswada wa Sheria  wenye utata dhidi ya mashoga, ofisi yake na bunge la nchi hiyo zilisema, ikianzisha hatua kali dhidi ya ushoga ambazo zimetajwa kuwa miongoni mwa sheria kali zaidi duniani.

Tanzania, Kenya  na Uganda kuwa wenyeji michuano ya AFCON
Africa Asia

Tanzania, Kenya  na Uganda kuwa wenyeji michuano ya AFCON

Asia GambaMay 24, 2023May 24, 2023

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na Kenya na Uganda kupitia Pamoja Bid wamedhamiria kuwa mwenyeji wa michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (African Cup of Nations) 2027.

Wanachama wa CUF wazidi kutimka
Africa East Africa

Wanachama wa CUF wazidi kutimka

Asia GambaMay 23, 2023May 23, 2023

Aliyekuwa Mwenyekiiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Wananchi CUF ambaye pia aliwahi kuwa Mbunge wa Viti Maalum katika Bunge la la 10, Kiza Mayeye amejiondoa kwenye Chama hicho na kujiunga na Chama cha ACT Wazalendo.

Tanzania yajidhatiti kujenga Satelaiti yake
Africa East Africa

Tanzania yajidhatiti kujenga Satelaiti yake

Asia GambaMay 18, 2023May 18, 2023

Endapo mpango huo utakuwa dhahiri, Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi za Afrika zilizofanikiwa kupeleka kifaa hicho angani, ambazo  ni Algeria, Ethiopia, Kenya, Zimbabwe, Afrika Kusini, Morocco, Misri, Ghana na Nigeria, huku Rwanda ikikusudia kufanya hivyo mwishoni mwa mwaka huu.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy