• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Majambazi watatu waua mkoani Kagera.
Africa East Africa

Majambazi watatu waua mkoani Kagera.

Asia GambaNovember 17, 2022November 17, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, ACP William Mwampagale amewaambia waandishi wa habari tukio hilo lilifanyika wakati wa operashani maalumu baada ya kupata taarifa kuwa kuna kundi lililokuwa linapanga kufanya uhalifu.

Kesi ya Wanavijiji wa Loliondo dhidi ya Waziri wa Utalii na Maliasili, waleta maombi wapewa siku 14 kuleta maombi yao.
Africa East Africa

Kesi ya Wanavijiji wa Loliondo dhidi ya Waziri wa Utalii na Maliasili, waleta maombi wapewa siku 14 kuleta maombi yao.

Asia GambaNovember 17, 2022November 17, 2022

Uamuzi huo ulitolewa mawakili Jebra Kambole na Wakili Denis Moses Oleshangai kwa niaba ya waleta maombi na kwa upande wa Serikali alikuwepo wakili Zamaradi Johanes.

Siasa chafu, njaa na ukame vyatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu za ongezeko la wahamiaji haramu duniani
Africa East Africa

Siasa chafu, njaa na ukame vyatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu za ongezeko la wahamiaji haramu duniani

Asia GambaNovember 17, 2022November 17, 2022

Tatizo la mabadiliko ya Tabia nchi inayosabaisha njaa, ukame na siasa chafu zimetajwa kama  ni sababu kuu za ongezeko la wakimbizi na wahamiaji wanaotafuta hifadhi ya kisiasa duniani.

Madereva watano wafungiwa leseni mkoani Arusha
Africa East Africa

Madereva watano wafungiwa leseni mkoani Arusha

Asia GambaNovember 16, 2022November 16, 2022

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha katika kuhakikisha linakomesha matukio ya ajali kuelekea mwisho wa mwaka katika Mkoa huo limeendelea kutoa Elimu kwa madereva na kuwafungia leseni za udereva madereva watano (05) kwa makosa mbalimbali.

Mashirika 76 na Watu 109 waandika barua ya wazi kwa rais Samia kuhusu ukiukwaji wa haki huko Loliondo
Africa East Africa

Mashirika 76 na Watu 109 waandika barua ya wazi kwa rais Samia kuhusu ukiukwaji wa haki huko Loliondo

Asia GambaNovember 16, 2022November 16, 2022

Barua ya Wazi kwa Rais wa Tanzania – Acha Ukiukwaji wa Haki za Binadamu dhidi ya Watetezi wa Ardhi wa Kimasai

Simba yamkataa Muharami
Africa East Africa

Simba yamkataa Muharami

Asia GambaNovember 15, 2022November 15, 2022

Uongozi wa klabu ya Simba nchini Tanzania imesema ndugu Mugarami Said Mohamed maarufu kama Shilton hakuwa muajirwa wa klabu hiyo 

Kocha wa makipa wa Simba adaiwa kukutwa na dawa za kulevya
Africa East Africa

Kocha wa makipa wa Simba adaiwa kukutwa na dawa za kulevya

Asia GambaNovember 15, 2022November 15, 2022

Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya nchini Tanzania(DCEA) imewakamata watuhumiwa 11 akiwemo kocha wa makipa wa timu ya Simba Club, Muharami Sultan (40) anayetuhumiwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin na bangi.

Malipo ya fidia kwa waathirika wa ajali ya ndege kufanyika kwa siri
Africa East Africa

Malipo ya fidia kwa waathirika wa ajali ya ndege kufanyika kwa siri

Asia GambaNovember 14, 2022November 14, 2022

Mkurugenzi wa Shirika Precision Air, Patrick Mwanri amesema mchakato wa malipo ya fidia kwa familia zilizoathiriwa na ajali hiyo tayari umeshaanza ambapo utakuwa kati ya familia za waliothirika na shirika hilo na utakuwa wa siri na utafanyika kwa umakini mkubwa.

EAC kuzungumzia amani ya DRC, yapanga kuzungumza na Tshisekedi                       
Africa East Africa

EAC kuzungumzia amani ya DRC, yapanga kuzungumza na Tshisekedi                       

Asia GambaNovember 14, 2022November 14, 2022

Taarifa ya EAC kwa vyombo vya habari ilieleza kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo, Dk Peter Mathuki anatarajiwa kuungana na mwezeshaji wa mchakato wa amani mashariki mwa DRC, Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta katika kazi hiyo ya siku mbili iliyoanza jana.

Auawa kwa bomu akiwa kilabuni nchini Tanzania
Africa East Africa

Auawa kwa bomu akiwa kilabuni nchini Tanzania

Asia GambaNovember 14, 2022November 14, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Filemon Makungu alisema kuwa aliyeuawa kwenye tukio hilo ni Amos Petro (45) na watu wengine wawili walijeruhiwa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy