• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Namba za simu za utapeli 52,087 zafungiwa nchini Tanzania
Africa East Africa

Namba za simu za utapeli 52,087 zafungiwa nchini Tanzania

Asia GambaNovember 8, 2022November 8, 2022

Mamlaka ya Mawasiliano nchini Tanzania(TCRA) imetangaza kuzifungia jumla ya namba tambulishi 52,087, zikiwemo zile zinazohusishwa na wizi, utapeli na ulaghai kupitia mitandao wa simu.

Upelelezi waendelea kukwamisha kesi ya mauaji ya askari Loliondo
Africa East Africa

Upelelezi waendelea kukwamisha kesi ya mauaji ya askari Loliondo

Asia GambaNovember 8, 2022November 8, 2022

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ilipanga kutaja kesi hiyo leo Novemba 8, 2022 lakini Wakili wa Serikali Upendo Shemkole aliimweleza Hakimu Mkazi, Harieth Mhenga kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.

Serikali ya Tanzania yatarajia kukusanya na kutumia kiasi cha shilingi trilioni 43. 29 kwa mwaka wa fedha 2023/24
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania yatarajia kukusanya na kutumia kiasi cha shilingi trilioni 43. 29 kwa mwaka wa fedha 2023/24

Asia GambaNovember 7, 2022November 7, 2022

Waziri wa Fedha na Mpango, Dk Mwigulu Nchemba amewasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka wa fedha 2023/24 katika Kamati ya Bunge zima ambapo inatarajia kukusanya na kutumia shilingi trilioni 43.3.

China yasamehe baadhi ya madeni ya Tanzania
Africa East Africa

China yasamehe baadhi ya madeni ya Tanzania

Asia GambaNovember 4, 2022November 4, 2022

Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini pia imeshuhudia nchi hiyo ikiipunguzia Tanzania sehemu ya deni lake lenye thamani ya shilingi bilioni 31.4.

Dk Mpango: Mradi wa SGR utaongeza ufanisi matumizi ya ukanda huru wa biashara Afrika.
Africa East Africa

Dk Mpango: Mradi wa SGR utaongeza ufanisi matumizi ya ukanda huru wa biashara Afrika.

Asia GambaNovember 3, 2022November 3, 2022

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema kutekelezwa kwa mradi wa Reli ya kisasa (SGR) kutoka Uvinza mkoani Kigoma nchini humo hadi Kindu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kupitia Gitega nchini Burundi kutaongeza ufanisi katika matumizi ya Ukanda huru wa biashara Barani Afrika kwa kuimarisha usafirishaji wa watu na bidhaa.

Polisi nchini Tanzania watiwa mbaroni wakidaiwa kusafirisha wahamiaji haramu.
Africa East Africa

Polisi nchini Tanzania watiwa mbaroni wakidaiwa kusafirisha wahamiaji haramu.

Asia GambaNovember 3, 2022

Polisi watano wa kituo kidogo cha Uyole jijini Mbeya nchini Tanzania wamekamatwa kwa tuhuma za kula njama na kutaka kusafirisha wahamiaji haramu sita raia wa Ethiopia.

Serikali yatoa sababu za kusitisha zoezi la utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kieletroniki.
Africa East Africa

Serikali yatoa sababu za kusitisha zoezi la utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kieletroniki.

Asia GambaNovember 3, 2022November 3, 2022

Kauli hiyo imetolewa leo bungeni Dodoma na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo.

Bodi ya Mikopo Tanzania yaendelea kuandamwa, yadaiwa kutoa mikopo ya shilingi bilioni 1 kwa wanafunzi wasiostahili.
Africa East Africa

Bodi ya Mikopo Tanzania yaendelea kuandamwa, yadaiwa kutoa mikopo ya shilingi bilioni 1 kwa wanafunzi wasiostahili.

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) imebaini utoaji wa mikopo inayofikia shilingi bilioni 1.76 kwa wanafunzi wasiostahili katika kipindi  cha kati ya mwaka 2016 hadi mwaka 2018.

Mradi wa visima vya maji kupunguza adha ya upatikanaji maji Dar
Africa East Africa

Mradi wa visima vya maji kupunguza adha ya upatikanaji maji Dar

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Mradi huo unahusisha visima saba na tenki la kuhifadhia maji lenye ukubwa la lita 15 milioni unatekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Dawasa) umekamilika kipindi ambacho jiji la Dar es Salaam lina uhaba mkubwa wa maji.

Adaiwa kumuua mwanaye kwa kipigo
Africa East Africa

Adaiwa kumuua mwanaye kwa kipigo

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani  Mwanza, Maili Makori amesema wanawasaka wazazi wa mtoto huyo waliotoweka mara baada ya mauaji hayo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy