• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Simbachawene: Serikali ilitumia bilioni 17 kwa waathirka wa mabomu Mbagala 
Africa East Africa

Simbachawene: Serikali ilitumia bilioni 17 kwa waathirka wa mabomu Mbagala 

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Simbachawene ameyasema hayo leo bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la mbunge wa jimbo la Mbagala, Abdalah Chaurembo aliyetaka kufahamu kauli ya serikali juu ya mapunjo ya fidia kwa wananchi walioathirika na mlipuko wa mabomu jimboni kwake.

Dawa ya ganzi yatajwa kuwa chanzo cha vifo kwa wanawake kutokana na uzazi nchini Tanzania
Africa East Africa

Dawa ya ganzi yatajwa kuwa chanzo cha vifo kwa wanawake kutokana na uzazi nchini Tanzania

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Afya nchini Tanzania, Dkt Godwin Mollel ni kwamba wanawake  263 wamepoteza maisha kutokana na uzazi katika kipindi cha mwaka 2018 hadi 2021, huku miongoni mwa sababu zikielezwa kuwa ni dawa za ganzi, upasuaji wakati wa kutolewa mtoto tumboni, tatizo la damu kuganda na maambukizi ya bakteria baada ya upasuaji.

Bei mafuta yaendelea kupungua nchini Tanzania 
Africa East Africa

Bei mafuta yaendelea kupungua nchini Tanzania 

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana  tarehe 1 Novemba 2022 na Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Modestus Lumato, ilieleza kuwa bei hizo zitaanza kutumika leo tarehe 2 Novemba, 2022 saa 6.00 usiku, zimeshuka ikilinganishwa na bei za Oktoba 2022 kwa sababu ya ruzuku.

Ummy: Bima ya Afya kwa wote haitabagua
Africa East Africa

Ummy: Bima ya Afya kwa wote haitabagua

Asia GambaOctober 19, 2022October 19, 2022

Waziri Ummy amesema hayo jana 18 Oktoba 2022 wakati akiwasilisha muswada huo mbele ya Kamati ya Kudumu ya huduma na Maendeleo ya Jamii kwenye kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma.

Rais Samia aweka jiwe la msingi upanuzi wa bandari ya Ujiji na Kibirizi
Africa East Africa

Rais Samia aweka jiwe la msingi upanuzi wa bandari ya Ujiji na Kibirizi

Asia GambaOctober 18, 2022October 18, 2022

Rais Samia ameweka jiwe hilo la msingi leo Jumanne ya Oktoba 18, 2022 ikiwa ni katika kuhitimisha ziara yake mkoani humo ambapo kabla ya uzinduzi huo tayari amefanya shughuli mbalimbali ikiwemo uzimaji wa majenereta baada ya Kigoma kuunganishwa na gridi ya Taifa.

Muuguzi katika hospitali ya Mloganzila adaiwa kujinyonga kisa kusitishiwa mshahara.
Africa East Africa

Muuguzi katika hospitali ya Mloganzila adaiwa kujinyonga kisa kusitishiwa mshahara.

Asia GambaOctober 18, 2022October 18, 2022

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kutokea kwa tukio la kujinyonga kwa kijana huyo na kusema uchunguzi unaendelea.

Mbunge wa CCM afariki dunia
Africa East Africa

Mbunge wa CCM afariki dunia

Asia GambaOctober 13, 2022October 15, 2022

Mbunge wa Aman (CCM), Mussa Hassan Mussa amefariki dunia leo Alhamisi Oktoba 13, 2022 nyumbani kwake visiwani Zanzibar.

Kesi ya Padri anayedaiwa kumbaka mtoto wa 12 yakwama
Africa East Africa

Kesi ya Padri anayedaiwa kumbaka mtoto wa 12 yakwama

Asia GambaOctober 12, 2022October 12, 2022

Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Moshi na Mahakama ya Wilaya Moshi zimeahirisha kesi za ubakaji zinazomkabili Padri Sostenes Soka wa Kanisa Katoliki Parokia Teule ya Mtakatifu Deonis Aropagita hadi Oktoba 25 kwa madai ni mgonjwa.

Mwakyembe kuongza jopo la uchunguzi malalamiko ya mitihani ya Uanasheria
Africa East Africa

Mwakyembe kuongza jopo la uchunguzi malalamiko ya mitihani ya Uanasheria

Asia GambaOctober 12, 2022October 12, 2022

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amemteuwa Dk Harison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati ya watu saba ili kutafuta chanzo cha kufeli kwa wingi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST).

Makamba: Ni asilimia 8 tu ya Watanzania ndio wanaotumia nishati safi ya kupikia
Africa East Africa

Makamba: Ni asilimia 8 tu ya Watanzania ndio wanaotumia nishati safi ya kupikia

Asia GambaOctober 12, 2022October 12, 2022

Makamba ameyasema hayo leo Oktoba 12, 2022 alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari ambapo amesema zaidi ya Watanzania 33,000 hufariki kila mwaka kutokana kupumua moshi unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy