• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Wivu wa mapenzi wamfanya mwalimu kumnyonga mkewe na kisha yeye kujinyonga
Africa East Africa

Wivu wa mapenzi wamfanya mwalimu kumnyonga mkewe na kisha yeye kujinyonga

Asia GambaJuly 28, 2022July 28, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari leo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Ali Makame amesema marehemu ni mkazi wa Tanga  na chanzo cha tukio hilo ni wivu wa kimapenzi.

42 wafariki kwa kunywa pombe yenye sumu nchini India
Africa East Africa

42 wafariki kwa kunywa pombe yenye sumu nchini India

Asia GambaJuly 28, 2022July 28, 2022

Mamia ya watu hufa kila mwaka nchini India kutokana na pombe ya bei nafuu inayotengenezwa kwenye viwanda vya kutengeneza pombe.

Wanaoanzisha migogoro mipakani nchini Tanzania wapewa onyo
Africa East Africa

Wanaoanzisha migogoro mipakani nchini Tanzania wapewa onyo

Asia GambaJuly 28, 2022July 28, 2022

“Ukifanya vitendo viovu utajiingiza kwenye migogoro, kuwa makini usijeingia kwenye mgogoro kwa kutumwa tu, tunazo sheria za nchi.”

Baraza la Tiba Asili lapiga marufuku utumiaji wa dawa ya Mkongo
Africa East Africa

Baraza la Tiba Asili lapiga marufuku utumiaji wa dawa ya Mkongo

Asia GambaJuly 27, 2022July 27, 2022

Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Prof. Hamisi Masanja Malebo, ametoa kauli hiyo leo Julai 27, 2022 mjini Morogoro wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Majeruhi 7 wa ajali ya School Bus wahamishiwa Muhimbili na Ndanda
Africa East Africa

Majeruhi 7 wa ajali ya School Bus wahamishiwa Muhimbili na Ndanda

Asia GambaJuly 27, 2022July 27, 2022

Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa ya Rufaa Ligula, Dk. Clemence Haule, amesema majeruhi watatu kati ya hao saba wamepelekwa Muhimbili na wengine wanne wamepelekwa hospital ya Rufaa Ndanda.

TUCTA kuwasilisha kwa maandishi hoja ya nyongeza ya mishahara leo
Africa East Africa

TUCTA kuwasilisha kwa maandishi hoja ya nyongeza ya mishahara leo

Asia GambaJuly 27, 2022July 27, 2022

Hapo jana Viongozi wa Tucta wakiwa jijini Dodoma walisema kuwa leo watawasilisha serikalini hoja zao kwa maandishi na wakasema hawataondoka Dodoma hadi suala hilo litakapofikia tamati au kuwa na sura nzuri ya utekelezaji. 

TMDA yakamata aina 34 ya dawa zikiuzwa kiholela
Africa East Africa

TMDA yakamata aina 34 ya dawa zikiuzwa kiholela

Asia GambaJuly 26, 2022July 26, 2022

Taarifa hiyo imetolewa leo na Meneja wa TMDA, Kanda ya Ziwa Magharibi Ofisi za Geita, Dk Edgar Mahundi wakati akikabidhi dawa hizo kwa mkuu wa mkoa wa Geita mbele ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.

Tanzania kupokea watalii milioni tano 2025.
Africa East Africa

Tanzania kupokea watalii milioni tano 2025.

Asia GambaJuly 26, 2022July 26, 2022

Waziri wa Maliasili na Utalii nchini humo, Balozi Pindi Chana alisema hayo jana jijini Arusha wakati akifungua kikao cha wadau wa utalii kujadili changamoto na kutoa ushauri ili kuboresha mazingira ya sekta hiyo.

Wanafunzi 8 wafariki kwenye ajali mkoani Mtwara, Rais Samia atuma salam za pole
Africa East Africa

Wanafunzi 8 wafariki kwenye ajali mkoani Mtwara, Rais Samia atuma salam za pole

Asia GambaJuly 26, 2022July 26, 2022

Ajali hiyo imetokea leo Jumanne Julai 26, 2022, baada ya basi lililokuwa limebeba wanafunzi wa Shule ya Msingi ya King David iliyopo Manispaa ya mtwara Mikindani  kutumbukia shimoni.

Waziri wa Afya nchini Tanzania atoa siku 67 MSD ifumuliwe
Africa East Africa

Waziri wa Afya nchini Tanzania atoa siku 67 MSD ifumuliwe

Asia GambaJuly 25, 2022July 25, 2022

Waziri Ummy ameyasema hayo leo wakati wa uzinduzi wa bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake, Rosemary Slaa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy