• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Waziri Mkuu wa zamani wa Japan Abe amefariki dunia akiwa hospitali baada ya kupigwa risasi.
Africa East Africa

Waziri Mkuu wa zamani wa Japan Abe amefariki dunia akiwa hospitali baada ya kupigwa risasi.

Asia GambaJuly 8, 2022July 8, 2022

Abe amefariki baada ya  kupoteza damu, licha ya kuongezewa damu kwa wingi

Uamuzi kesi ya kina Mdee na wenzake kutolewa leo.
Africa East Africa

Uamuzi kesi ya kina Mdee na wenzake kutolewa leo.

Asia GambaJuly 8, 2022July 8, 2022

Mdee na wenzake waliwasilisha maombi hayo Mei 13, mwaka huu wakiomba mahakama iwapatie kibali cha kufungua kesi ya mapitio ya kimahakama dhidi ya Baraza la Wadhamini la Chadema, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Juni 30, mwaka huu maombi hayo yalisikilizwa na Jaji Mustapha Ismail na kupanga kutoa uamuzi leo saa 6:00 mchana.

Kenya yafuta kesi ya ufisadi dhidi ya kinara wa soka Nick Mwendwa 
Sports

Kenya yafuta kesi ya ufisadi dhidi ya kinara wa soka Nick Mwendwa 

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Mwendwa alikamatwa Novemba baada ya serikali ya Kenya kuvunja Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) na kuunda kamati ya muda ya kusimamia soka kwa madai ya ubadhirifu wa kifedha wakati wa uongozi wake.

Mashauri kushughulikiwa saa 24 kupunguza msongamano wa kesi.
Africa East Africa

Mashauri kushughulikiwa saa 24 kupunguza msongamano wa kesi.

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Kitengo cha Maboresho ya Mahakama, Dk. Angelo Rumisha wakati Benki ya Dunia ilipotembelea banda la mahakama katika maonesho ya 46 ya Sabasaba, Dar es Salaam.

Bei ya mafuta yapanda nchini Ethiopia huku ruzuku zikipungua
Africa East Africa

Bei ya mafuta yapanda nchini Ethiopia huku ruzuku zikipungua

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Bei ya petroli kwenye pampu ilipanda karibu asilimia 30 hadi 48.83 huku dizeli ikipanda karibu asilimia 40 hadi 49.02 chini ya sheria mpya ya bei ambayo itaanza Agosti 6.

Sri Lanka yaiomba Urusi kutoa mafuta na kuanza tena safari za ndege za watalii kusaidia nchi hiyo.
Africa East Africa

Sri Lanka yaiomba Urusi kutoa mafuta na kuanza tena safari za ndege za watalii kusaidia nchi hiyo.

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Taifa hilo la kisiwa limekumbwa na ukosefu wa umeme kwa miezi kadhaa, mfumuko wa bei uliokithiri na uhaba mkubwa wa chakula na petroli baada ya kukosa fedha za kigeni kufadhili uagizaji bidhaa kutoka nje.

Aliyeua watu sita wa familia moja akamatwa mkoani Kigoma
Africa East Africa

Aliyeua watu sita wa familia moja akamatwa mkoani Kigoma

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Akitoa taarifa hiyo leo, Julai 6, 2022, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi nchini, Liberatus Sabas amesema jeshi hilo limejiridhisha bila kuona shaka kuwa mtu huyo ndiye amefanya mauaji peke yake.

Vijana 21 waliofariki kwenye mkanyagano nchini Afrika Kusini kuagwa leo
Africa East Africa

Vijana 21 waliofariki kwenye mkanyagano nchini Afrika Kusini kuagwa leo

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Rais Cyril Ramaphosa anatarajiwa kuhutubia ibada ya kumbukumbu ya wahasiriwa katika uwanja wa michezo katika kitongoji cha Scenery Park katika jiji la pwani la London Mashariki.

Kiswahili sasa rasmi nchini Uganda
Africa East Africa

Kiswahili sasa rasmi nchini Uganda

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Kiswahili, ambacho asili yake ni Afrika Mashariki, ni mojawapo ya lugha 10 zinazozungumzwa na watu wengi zaidi duniani ikiwa na wazungumzaji takriban milioni 200.

Msafara wa Rais wa Nigeria washambuliwa na watu wasiojulikana.
Africa Politics

Msafara wa Rais wa Nigeria washambuliwa na watu wasiojulikana.

Asia GambaJuly 6, 2022July 2, 2024

Shambulio hilo linadhihirisha kuwa hali ya usalama nchini Nigeria ni mbaya kutokana na makundi ya uhalifu yanazuka kila uchwao

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy