Waziri Mkuu wa zamani wa Japan Abe amefariki dunia akiwa hospitali baada ya kupigwa risasi.
Abe amefariki baada ya kupoteza damu, licha ya kuongezewa damu kwa wingi
Abe amefariki baada ya kupoteza damu, licha ya kuongezewa damu kwa wingi
Mdee na wenzake waliwasilisha maombi hayo Mei 13, mwaka huu wakiomba mahakama iwapatie kibali cha kufungua kesi ya mapitio ya kimahakama dhidi ya Baraza la Wadhamini la Chadema, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Juni 30, mwaka huu maombi hayo yalisikilizwa na Jaji Mustapha Ismail na kupanga kutoa uamuzi leo saa 6:00 mchana.
Mwendwa alikamatwa Novemba baada ya serikali ya Kenya kuvunja Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) na kuunda kamati ya muda ya kusimamia soka kwa madai ya ubadhirifu wa kifedha wakati wa uongozi wake.
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Kitengo cha Maboresho ya Mahakama, Dk. Angelo Rumisha wakati Benki ya Dunia ilipotembelea banda la mahakama katika maonesho ya 46 ya Sabasaba, Dar es Salaam.
Bei ya petroli kwenye pampu ilipanda karibu asilimia 30 hadi 48.83 huku dizeli ikipanda karibu asilimia 40 hadi 49.02 chini ya sheria mpya ya bei ambayo itaanza Agosti 6.
Taifa hilo la kisiwa limekumbwa na ukosefu wa umeme kwa miezi kadhaa, mfumuko wa bei uliokithiri na uhaba mkubwa wa chakula na petroli baada ya kukosa fedha za kigeni kufadhili uagizaji bidhaa kutoka nje.
Akitoa taarifa hiyo leo, Julai 6, 2022, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi nchini, Liberatus Sabas amesema jeshi hilo limejiridhisha bila kuona shaka kuwa mtu huyo ndiye amefanya mauaji peke yake.
Rais Cyril Ramaphosa anatarajiwa kuhutubia ibada ya kumbukumbu ya wahasiriwa katika uwanja wa michezo katika kitongoji cha Scenery Park katika jiji la pwani la London Mashariki.
Kiswahili, ambacho asili yake ni Afrika Mashariki, ni mojawapo ya lugha 10 zinazozungumzwa na watu wengi zaidi duniani ikiwa na wazungumzaji takriban milioni 200.
Shambulio hilo linadhihirisha kuwa hali ya usalama nchini Nigeria ni mbaya kutokana na makundi ya uhalifu yanazuka kila uchwao