• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Upotoshaji wamkera Rais wa Zanzibar Dk. Mwinyi
Africa East Africa

Upotoshaji wamkera Rais wa Zanzibar Dk. Mwinyi

Asia GambaJuly 4, 2022July 4, 2022

Rais Mwinyi alisema baada ya serikali kuingia makubaliano na kampuni ya kimataifa ya Dnata kuendeshwa uwanja wa ndege kisasa, yamekuwapo maneno mengi ya upotoshaji.

Miili ya familia ya watu sita waliouawa wazikwa usiku
Africa East Africa

Miili ya familia ya watu sita waliouawa wazikwa usiku

Asia GambaJuly 4, 2022July 4, 2022

Miili hiyo imezikwa kwa pamoja jana Jumapili Julai 3, 2022 , majira ya usiku, huku vilio na simanzi zikitawala

Miaka 30 ya Vyama Vingi: Changamoto na Mustakabali kusonga mbele
Africa East Africa

Miaka 30 ya Vyama Vingi: Changamoto na Mustakabali kusonga mbele

Asia GambaJuly 1, 2022July 1, 2022

Leo Tanzania inatimiza miaka 30 tangu turejee rasmi katika siasa za mfumo wa vyama vingi. Katika kipindi hicho, taifa letu limepitia katika kipindi cha furaha, majonzi, misukusuko na changamoto zote wakati taifa linapoanza njia mpya. Jambo hili si jepesi kwa sababu nyakati hizo hazikuwa rahisi duniani kote.

Mabosi wa TPA wapandishwa kizimbani kwa kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 4.2
Africa East Africa

Mabosi wa TPA wapandishwa kizimbani kwa kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 4.2

Asia GambaJuly 1, 2022July 1, 2022

Waliofikishwa mahakamani kwa makosa hayo, ni Ofisa Rasilimali Watu wa mamlaka hiyo, Peter Gawile (58); Mwenyekiti wa Bodi ya Manunuzi, Casmily Lujegi (65); Mkurugenzi wa Idara ya Manunuzi, Mashaka Kisanta (59) na Kilian Chale (51), ambaye ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.

Kesi ya mauaji ya askari Ngorongoro Mawakili 14 wajitokeza kuwatetea watuhumiwa 25 wa mauaji hayo
Africa East Africa

Kesi ya mauaji ya askari Ngorongoro Mawakili 14 wajitokeza kuwatetea watuhumiwa 25 wa mauaji hayo

Asia GambaJune 30, 2022June 30, 2022

Leo Juni 30, 2022 watuhumiwa hao wakiwemo madiwani tisa wa wilaya hiyo na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo Ndirango Laizer walifikishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ataka fomu za kujiunga na shule za serikali ziweke wazi kuhusu kutokuwepo kwa michango ya shuleni.
Africa East Africa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ataka fomu za kujiunga na shule za serikali ziweke wazi kuhusu kutokuwepo kwa michango ya shuleni.

Asia GambaJune 30, 2022June 30, 2022

Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo leo Alhamisi tarehe 30 Juni, 2022, bungeni jijini Dodoma wakati akisoma hotuba yake kuhitimisha Mkutano wa saba wa bunge la 12 ulioanza tarehe 5 Aprili, 2022.

Katibu Mkuu CWT ahukumiwa kifungo cha miezi sita jela 
Africa East Africa

Katibu Mkuu CWT ahukumiwa kifungo cha miezi sita jela 

Asia GambaJune 29, 2022June 29, 2022

Akitoa Hukumu hiyo, Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate amesema mahakama hiyo imewatia hatiani washtakiwa hao na kila mmoja atatumikia kifungo cha miezi sita jela.

Raia zaidi ya 360,000 wameuawa ndani ya mwezi mmoja nchini Syria
Africa

Raia zaidi ya 360,000 wameuawa ndani ya mwezi mmoja nchini Syria

Asia GambaJune 29, 2022June 29, 2022

Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu Michelle Bachelet amesema idadi ya vifo nchini Syria katika kipindi cha miaka 10 ni takriban asilimia 1.5 ya idadi ya watu wa taifa hilo. 

Tanzania yabariki hoja ya kuwatambua na kusamehe walipa kodi mahiri
Africa East Africa

Tanzania yabariki hoja ya kuwatambua na kusamehe walipa kodi mahiri

Asia GambaJune 29, 2022June 29, 2022

Akizungumza bungeni jijini hapa jana, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, alisema serikali imezingatia dalili zote za walakini kabla ya kuupa baraka msimamo wake huo.

Polisi Dar yawashikilia watu 23 kwa tuhuma za utapeli na kufanya biashara ya ngono
Africa East Africa

Polisi Dar yawashikilia watu 23 kwa tuhuma za utapeli na kufanya biashara ya ngono

Asia GambaJune 28, 2022June 28, 2022

Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema waliokamatwa ni  watuhumiwa waliokuwa wakijifanya wakuu wa shule, waganga wa kienyeji, ndugu wa waathirika, wahudumu wa makampuni ya simu au mawakala wa Freemason.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy