• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Wanawake vinara wa matumizi ya dawa za kulevya jijini Mwanza
Africa East Africa

Wanawake vinara wa matumizi ya dawa za kulevya jijini Mwanza

Asia GambaJune 23, 2022June 23, 2022

Alisema idadi ya wanawake waliokamatwa katika kipindi kama hicho, mwaka huu ni  22 wakati mwaka jana walikuwa 10.

Ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kumbaka mwanae wa miaka 6.
Africa East Africa

Ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kumbaka mwanae wa miaka 6.

Asia GambaJune 23, 2022June 23, 2022

Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Mwandamizi Emmy Msangalufu, amesema mtuhumiwa amekutwa na hatia ya kutenda kosa hilo Novemba 19, 2020 nyumbani kwake alipokuwa akiishi na mke wake ambaye alikuwa mgonjwa.

Simbachawene: Serikali haitarudisha makao yake makuu jijini Dar es salaam.
Africa East Africa

Simbachawene: Serikali haitarudisha makao yake makuu jijini Dar es salaam.

Asia GambaJune 23, 2022June 23, 2022

Kauli hiyo imetolewa leo bungeni na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge, Sera na Uratibu George Simbachawene ambaye amesema kuwa, ziko taarifa za kwamba Rais anarudisha tena makao makuu yalikokuwa.

Serikali: Haki na Sheria za Kimataifa zmezingatiwa kwa wananchi wanaoishi Ngorongoro na Loliondo
Africa East Africa

Serikali: Haki na Sheria za Kimataifa zmezingatiwa kwa wananchi wanaoishi Ngorongoro na Loliondo

Asia GambaJune 22, 2022June 22, 2022

“Serikali imekuja na mpango wa kulinda eneo la Ngorongoro, imechukua miaka 20 kuandaa na kuratibu mpango huu, ambao unatekelezwa sasa na hakuna uhamishaji wa nguvu unaofanywa kwa wananchi kama inavyodaiwa, wananchi husika wameshirikishwa vya kutosha na ndio maana wamekubali na kuamua kuhama kwa hiari wenyewe,”

Wasanii wa Hip Hop kutoka nchi 10 kukutana kwenye Tamasha la Hip Hop asili
Entertainment

Wasanii wa Hip Hop kutoka nchi 10 kukutana kwenye Tamasha la Hip Hop asili

Asia GambaJune 22, 2022June 22, 2022

Tamasha hilo la Hip Hop asili litafanyika kwa muda wa siku tatu mfululizo kuanzia tarehe 23 hadi 25 mwezi huu.

Kizimbani kwa kukutwa na chuchu za mwanamke
Africa East Africa

Kizimbani kwa kukutwa na chuchu za mwanamke

Asia GambaJune 22, 2022June 22, 2022

Anadaiwa kukutwa akimiliki viungo vya binadamu ambavyo ni sehemu za siri za mwanamke tano, mafuvu mawili ya binadamu na chuchu tano za mwanamke.

Polisi jijini Mwanza yakamata kilo 561 za mirungi
Africa East Africa

Polisi jijini Mwanza yakamata kilo 561 za mirungi

Asia GambaJune 21, 2022June 21, 2022

Akizungumza na waaandishi wa habari leo Kamanda wa Polisi mkoani humo, Ramadhani Ng’anzi amesema gari hilo mali ya Malema Maswi lilikamatwa Juni 8, 2022 Saa 5: 20 usiku katika maeneo ya Itumbili wilayani Magu mkoani humo muda mfupi baada ya kutelekezwa na dereva ambaye jina lake halijatambulika.

Mwanafunzi auawa, mwili wake watupwa pembeni ya mto nchini Tanzania
Africa East Africa

Mwanafunzi auawa, mwili wake watupwa pembeni ya mto nchini Tanzania

Asia GambaJune 21, 2022June 21, 2022

Tukio la mtoto huyo kuuawa ni tukio la tatu ndani ya wiki mbili ambapo watoto wengine wawili mmoja akiwa na miaka miwili aliuawa kwa kukatwa shingo na mwingine wa miaka saba inadaiwa alilawitiwa na kubakwa kisha kukatwa shingo wilayani Nyang’hwale mkoani humo.

Miaka 25 jela kwa kukutwa na ngozi mbili za chui
Africa East Africa

Miaka 25 jela kwa kukutwa na ngozi mbili za chui

Asia GambaJune 21, 2022June 21, 2022

Awali mtuhumiwa aliomba Mahakama impunguzie adhabu kwasababu ni kosa lake la kwanza na amefanyiwa upasuaji hivyo hawezi kufanya kazi ngumu na ana familia kubwa yenye watoto sita na wote wanamtegemea lakini hata hivyo Mahakama imemuhukumu kifungo cha miaka 25 au faini ya shilingi million 163.670.

Kishoa: Wanasiasa wanatafuta kiki sakata la Loliondo
Africa East Africa

Kishoa: Wanasiasa wanatafuta kiki sakata la Loliondo

Asia GambaJune 21, 2022June 21, 2022

Aidha amesema wanansiasa na wanaharakati wanapaswa kuacha kutumia kiraka cha Haki za Binadamua kwenye suala la mgogoro wa Loliondo na Ngorongoro linaloendelea nchini Tanzania.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy