Wanawake vinara wa matumizi ya dawa za kulevya jijini Mwanza
Alisema idadi ya wanawake waliokamatwa katika kipindi kama hicho, mwaka huu ni 22 wakati mwaka jana walikuwa 10.
Alisema idadi ya wanawake waliokamatwa katika kipindi kama hicho, mwaka huu ni 22 wakati mwaka jana walikuwa 10.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Mwandamizi Emmy Msangalufu, amesema mtuhumiwa amekutwa na hatia ya kutenda kosa hilo Novemba 19, 2020 nyumbani kwake alipokuwa akiishi na mke wake ambaye alikuwa mgonjwa.
Kauli hiyo imetolewa leo bungeni na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge, Sera na Uratibu George Simbachawene ambaye amesema kuwa, ziko taarifa za kwamba Rais anarudisha tena makao makuu yalikokuwa.
“Serikali imekuja na mpango wa kulinda eneo la Ngorongoro, imechukua miaka 20 kuandaa na kuratibu mpango huu, ambao unatekelezwa sasa na hakuna uhamishaji wa nguvu unaofanywa kwa wananchi kama inavyodaiwa, wananchi husika wameshirikishwa vya kutosha na ndio maana wamekubali na kuamua kuhama kwa hiari wenyewe,”
Tamasha hilo la Hip Hop asili litafanyika kwa muda wa siku tatu mfululizo kuanzia tarehe 23 hadi 25 mwezi huu.
Anadaiwa kukutwa akimiliki viungo vya binadamu ambavyo ni sehemu za siri za mwanamke tano, mafuvu mawili ya binadamu na chuchu tano za mwanamke.
Akizungumza na waaandishi wa habari leo Kamanda wa Polisi mkoani humo, Ramadhani Ng’anzi amesema gari hilo mali ya Malema Maswi lilikamatwa Juni 8, 2022 Saa 5: 20 usiku katika maeneo ya Itumbili wilayani Magu mkoani humo muda mfupi baada ya kutelekezwa na dereva ambaye jina lake halijatambulika.
Tukio la mtoto huyo kuuawa ni tukio la tatu ndani ya wiki mbili ambapo watoto wengine wawili mmoja akiwa na miaka miwili aliuawa kwa kukatwa shingo na mwingine wa miaka saba inadaiwa alilawitiwa na kubakwa kisha kukatwa shingo wilayani Nyang’hwale mkoani humo.
Awali mtuhumiwa aliomba Mahakama impunguzie adhabu kwasababu ni kosa lake la kwanza na amefanyiwa upasuaji hivyo hawezi kufanya kazi ngumu na ana familia kubwa yenye watoto sita na wote wanamtegemea lakini hata hivyo Mahakama imemuhukumu kifungo cha miaka 25 au faini ya shilingi million 163.670.
Aidha amesema wanansiasa na wanaharakati wanapaswa kuacha kutumia kiraka cha Haki za Binadamua kwenye suala la mgogoro wa Loliondo na Ngorongoro linaloendelea nchini Tanzania.