• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Davis Mberia

Raila Atoa Makataa Ya Siku 14 Kwa Serikali Ya Rais Ruto Kupunguza Gharama Ya Maisha nchini Kenya.
Africa Politics

Raila Atoa Makataa Ya Siku 14 Kwa Serikali Ya Rais Ruto Kupunguza Gharama Ya Maisha nchini Kenya.

Davis MberiaFebruary 22, 2023February 22, 2023

Odinga ambaye siku ya Jumatano Februari 22 aliandaa mkutano wa maombi katika bustani ya Jeevanjee jijini Nairobi alisema kuwa wakenya wamechoka na serikali ya Kenya Kwanza kutotimiza ahadi walizotoa katika kipindi cha kampeni.

Mabwenyenye Tayari Kutoa Mkwanja Kuinunua Manchester United.
Europe Football Sports

Mabwenyenye Tayari Kutoa Mkwanja Kuinunua Manchester United.

Davis MberiaFebruary 20, 2023February 20, 2023

Ractliffe mwenye umri wa miaka 70 na kampuni yake tayari wamewasilisha ofa ya kutaka kununua asilimia 69 ya kuinunua Man United.

Mwili Wa Mchezaji Christian Atsu Watua Nchini Ghana,Wapokelewa Na Majeshi.
Africa Europe Football Sports

Mwili Wa Mchezaji Christian Atsu Watua Nchini Ghana,Wapokelewa Na Majeshi.

Davis MberiaFebruary 20, 2023February 20, 2023

Atsu mwenye umri wa miaka 31,alipatikana ameaga dunia katika vifusi vya nyumba yake mjini Hatay Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lilotokea Februari 6 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 4,000 huku maelfu ya wengine wakipata majeraha.

Ni wasaliti hao,hawafai kuwa nasi! Viongozi wa ODM waliokutana na Rais Ruto matatani
East Africa Politics

Ni wasaliti hao,hawafai kuwa nasi! Viongozi wa ODM waliokutana na Rais Ruto matatani

Davis MberiaFebruary 20, 2023February 20, 2023

Hatua ya baadhi ya viongozi kutoka chama cha ODM ambacho kipo katika mrengo wa upinzani nchini Kenya kukutana na Rais…

Africa International Sports

Omanyala Ni Moto Wa Kuotea Mbali,Atisha Ufaransa

Davis MberiaFebruary 12, 2023February 12, 2023

Ferdinand Omanyala alishamiri katika mashindano ya mbio za ukumbini nchini Ufaransa kwa kutwaa ushindi wake wa pili usiku wa Jumamosi.

Africa East Africa International Lifestyle & Health

Makali Ya Ukame Yawahamisha Wakaazi Wa Wajir Hadi Tana River Nchini Kenya

Davis MberiaFebruary 12, 2023February 12, 2023

afugaji kutoka kaunti ya Mandera na Wajir wanalazimika kutembea zaidi ya kilomita 100 hadi kaunti jirani ya Tana River angalau kupooza makali ya njaa yanayoawaathiri na mifugo wao.

East Africa Kenya Politics

Rais William Ruto Adinda Kuhudhuria Mazishi Ya Aliyekuwa Waziri Magoha.

Davis MberiaFebruary 12, 2023July 2, 2024

Risala za rambirambi za Rais William Ruto zilisomwa na waziri wa mawasilano na teknolojia Eliud Owalo.

Africa East Africa Gender International Politics

Toeni Wasomi Zaidi Kama Magoha,Rais Mstaafu Kenya Uhuru Kenyatta Awaambia Wakaazi Gem.

Davis MberiaFebruary 12, 2023February 12, 2023

Rais huyo mstaafu alisema kuwa watu wa eneo la Gem wanafaa kuwakuza maprofesa zaidi,wasomi na hata viongozi kama Magoha.

Rais Ruto Atumia “Minofu Ya Maendeleo” Kuinasa Nyanza .
Africa East Africa Politics

Rais Ruto Atumia “Minofu Ya Maendeleo” Kuinasa Nyanza .

Davis MberiaFebruary 7, 2023February 7, 2023

Rais wa Kenya WIlliam Ruto na naibu rais Rigathi Gachagua Jumanne asubuhi Wameandaa kikao na viongozi kutoka eneo la Nyanza katika ikulu ya Nairobi kufuatia ziara yake ya hivi majuzi katika eneo hilo.

Serikali Yamuonya Kiongozi Wa Upinzani Raila Odinga Dhidi Ya Maandamano
East Africa Kenya Politics

Serikali Yamuonya Kiongozi Wa Upinzani Raila Odinga Dhidi Ya Maandamano

Davis MberiaFebruary 7, 2023July 2, 2024

Waziri wa usalama wa ndani nchini kenya Kithure kindiki amemuonya odinga dhidi ya maandamano

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo