Kenya yaomba kuandaa mechi za Diamond League
Mji mkuu wa Morocco Rabat kwa sasa ndio mji pekee barani Afrika kuandaa Ligi ya Diamond
Mji mkuu wa Morocco Rabat kwa sasa ndio mji pekee barani Afrika kuandaa Ligi ya Diamond
Mahakama ya Sheria ya Shanzu Mei 10 itatoa uamuzi kuhusu ombi la polisi la kuwazuilia kwa siku 90
Mackenzie, mkuu wa kanisa la Good News International Church, anadaiwa kuwachochea wafuasi wake kufa njaa ili “kumlaki Yesu”
Mafuriko bado yanaongezeka na kusababisha tishio kwa maisha zaidi
Kindiki alisema waandishi wa habari nchini Kenya hawawezi kujiendeleza kutokana na malipo duni au kucheleweshwa kwa mishahara
Uganda haijatumia adhabu ya kifo kwa miaka mingi
Kwa mujibu wa polisi, Waziri huyo aliuawa kwa kupigwa risasi mwendo wa saa nane asubuhi siku ya Jumanne alipokuwa akiingia kwenye gari lake kwenda kazini
Maswali yameibuka kuhusu jinsi mchungaji huyo mwenye historia ya itikadi kali ameweza kukwepa utekelezaji wa sheria licha ya wasifu wake maarufu
Wachunguzi pia watachukua sampuli za DNA kusaidia utambuzi, ingawa matokeo kamili yanaweza kuchukua miezi
Jenerali wa Kenya Jeff Nyagah alisema anaondoka kwenye ujumbe huo “kutokana na tishio kubwa kwa usalama wangu.”