#KENYA: Ajali ya Londiani- Tunachojua kufikia sasa
Hadi sasa miili thelathini na saba kati ya watu 52 walioangamia katika ajali hiyo imetambuliwa.
Hadi sasa miili thelathini na saba kati ya watu 52 walioangamia katika ajali hiyo imetambuliwa.
President Ruto said Kenyans can now access over 5,000 Government services online and the digitisation of government services will enhance efficiency and inclusivity in service delivery.
Julius Maada Bio alichaguliwa tena kwa asilimia 56.17 kuhudumu kwa muhula wa pili
Uchunguzi wa mwili wa mfuasi wa mchungaji Paul Mackenzie aliyefia gerezani, hata hivyo, bado haujashughulikiwa
Nigeria’s afrobeat superstar Damini Ogulu, aka Burna Boy secured the Best International Act Award
Sheria hiyo mpya itaongeza ushuru kwa bidhaa na huduma za kimsingi
Rais William Ruto alisema mashindano hayo ya 2023 ya WRC Safari Rally yaliyosubiriwa kwa hamu yatakuza utalii na kubuni fursa za kiuchumi
OceanGate Expeditions hutumia manowari iitwayo Titan wakati wa kupiga mbizi kwenye eneo la ajali ya meli ya Titanic, na viti vikiwa na bei ya $250,000 kila kimoja, kulingana na tovuti yake
Mamlaka zilisema kundi la Allied Democratic Forces (ADF), wanamgambo walioko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, walivuka mpaka na kuwaua kwa umati watu 42, wakiwemo wanafunzi 37
Muungano wa Wanahabari wa Kenya (KUJ) ulisema “anakuwa ishara ya aibu ya kitaifa”