45 dead after two migrant boats sink off in Djibouti
At least 45 people died and “many” others were missing after two migrant boats sank off the coast of Djibouti, the UN’s migration agency said Tuesday.
At least 45 people died and “many” others were missing after two migrant boats sank off the coast of Djibouti, the UN’s migration agency said Tuesday.
Seneta wa Kaunti ya Makueni Dan Maanzo, anahoji kuwa Ruto amekiuka Katiba katika masuala mengi, ikiwa ni pamoja na kushindwa kuwalinda Wakenya dhidi ya ukatili wa polisi kwa mujibu wa sheria.
Maoni hayo yanaweza tolewa kupitia mtandano kwa anwani; impeachment@parliament.go.ke kufikia Oktoba 5, 2024 saa kumi na moja jioni.
Nigeria inatarajia kushuhudia maandamano mapya hii leo Jumanne wakati wananhi watapokusanyika kupinga gharama ya maisha.Maandamano hayo yaliyopewa jina la ‘Bila woga Oktoba 1’ yamepangwa kuendana na maadhimisho ya miaka 64 ya uhuru wa Nigeria ambayo yanaadhimishwa Jumanne, Oktoba
Bunge ya Kenya limepokea ombi la kutaka kumuondoa kwa lazima Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua ikidaiwa kuwa amekiuka sheria na katiba
Mwanaharakati wa kisiasa Morara Kebaso ameachiliwa huru baada ya kuzuiliwa kwa saa kadhaa kufuatia kukamatwa kwake.
Waendesha mashtaka wa Benin Jumatano walisema kwamba watu watatu mashuhuri akiwemo kamanda wa kikosi cha ulinzi wa rais walikamatwa kwa tuhuma za kupanga “mapinduzi” katika taifa hilo dogo la Afrika Magharibi.
Kenya inatarajiwa kuandaa kongamano la Afrika na Ufaransa mwaka 2026 kwa mara ya kwanza tangu lizinduliwe mwaka 1973.
Umoja wa Mataifa wasema kuongezeka kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya kundi la Hezbollah kumeifanya Lebanon kukabiliwa na kipindi kibaya zaidi katika historia yake.
Central London employment tribunal has received evidence that the telecommunications company MIC Tanzania Limited (Tigo) provided the Tanzanian government with 24/7 mobile phone calls and location data of opposition politician Tundu Lissu in the weeks leading to his violent assassination attempt in September 2017.